Enter your keyword

Culture for Life.

Sunday, April 23, 2017

Mavazi unayopaswa kuvaa mwanaume kwaajili ya Interview

Epuka kuvaa suti nyeusi,

ukweli ni kwamba suti nyeusi haipitwi na wakati lakini ni vema wakati wa usahili ukivaa suti ya kijivu(solid navy) au gray,ikiwa unafanya interview ya utangazaji unaweza vaa suti nyeusi.Hakikisha uvai  vizuri zaidi kuliko mfanya usahili,ni nivema muonekano wako ujieleze zaidi kuliko mavazi
 yako.


Epuka kuvaa suti zenye vifungo viwili mbele

Kwa usahili wa kwanza ukivaa shati nyeupe si mbaya.Usivae shati la bluu hilo linafaa kwa kipindi cha kufanya biashara si interview,Epuka shati lenye kora zenye urembo au zenye umbo la duara,vaa shati lenye kora ya kawaida.


mwanaume hupaswi kukosa tai katika kabati lako hii ni muhimu na tai hukupa muonekano mzuri zaidi.

 

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu