Kujivunia vitu vya asili ni muhimu kwa kila mwananchi bila kujali utaifa wako.Leo nitaongelea ubebaji wa mikoba ya asili wakati unapokwenda kupumzika ufukweni na familia yako,marafiki au mpenzi wako.Basi vitu vyako unaweza weka katika mikoba hii,pia hakikisha unavaa viatu flat kama ambavyo vinaonekana hapo.
TCAA YATOA MKONO WA PASAKA KITUO CHA KULELEA WATOTO CHA ZILI
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imekabidhi mahitaji kwa kituo
cha kulea watoto cha ZILI kilichopo Kipawa Jijini Dar es Salaam ikiwa ni
sehe...
3 days ago
No comments:
Post a Comment