Enter your keyword

Culture for Life.

Wednesday, August 21, 2013

Vyakula 11 Vinavyosaidia kuongeza Nguvu za Kiume.:(

By On August 21, 2013

TIKITI MAJI


  1. Samaki wabichi,bamia,kabeji,nyanyachungu na dhabibu kavu nyeusi na karoti
  2. Saga Tende mbichi  mpaka ziwe uji kisha changanya na maziwa ya mbuzi au ng'ombe yaliyo chemshwa, tumia  mchanganyiko huo kila unapotaka kulala na hutopata tatizo la kukosa nguvu za kiume wala uchovu baada ya tendo la ndoa.
  3. Mbegu za Tikiti maji zikaushwe kwa siku nzima, tafuna mbegu tano mara tatu kwa siku utaona  mabadilko. hufanya mwili kusisimka na nguvu kurejea.                       
  4. Tumia  Biringanya na nyanya chungu kwa wingi,supu ya kongoro,Vyakula vya Protein tumia kwa wingi
  5.  Juice ya tende na maziwa fresh, saga tende na usitie maji, maji yawe maziwa hiyo pia inasaidia sana.
  6.  Supu ya pweza.  Hakikisha unaitumia katika kila mlo
  7. Tumia korosho na karanga.
  8. Ponda mbegu za tikiti maji, zikaange halafu zitwange ili zitoe unga ambao ndio hasa husaidia. Pilipili pia husaidia.
  9.  Matunda na mboga za majani hupunguza kiwango cha mafuta na unene, kuongezeka kwa mafuta mwilini huzuia mzunguko wa damu kwa kubana mishipa ya damu. Matunda na mboga za majani huhakikisha uwiano wa uzito, unene kwa wanaume una matokeo mabaya katika kuzalisha homoni za testoeterone na hatimaye jogoo kushindwa kuwika. Wanandoa wanapozidi kunenepa, hali ya kufurahia tendo la ndoa huzidi kupungua.
  10. Nafaka halisi ni mlo muhimu sana katika maisha ya wana ndoa. Tangawizi nayo ina umuhimu wake mkubwa kama ilivyo asali, karanga na soya. Hata hivyo inapaswa ushauri wa namna ya kutumia ili kuleta mafanikio zaidi muone daktari.
  11. Chemsha Mdalasini na tangawizi kunywa  kila siku usiku kikombe kimoja itakusaidia.Epuka matumizi ya ngono isiyo Salama. Wanaohitaji matibabu zaidi piga simu +255 754 201 666,+255 719 268 290,+255 719 268 398

Mavazi ni Sababu ya Wewe kutovutia:

By On August 21, 2013

Mavazi ya Rangi Nyeusi.

Black Gown

 

Nguo Nyeusi siku zote huwapendeza watu wengi na haichagui rangi ya ngozi ya mtu pia unaweza kuvaa nguo yenye rangi nyeusi  sehemu yoyote.Wanawake wanaweza kuvaa nguo ya rangi hii na kuing’arisha na vikorombwezo vingine mfano Hereni,Mkufu,Bangiri,Pochi na Viatu au Skafu. Lakini unapokosea kuvaa nguo ya rangi hii lazima utapoteza muonekano wako ni kiwa na maana kuwa huwezi kupendeza endapo hutapangilia vazi hili.Pia wanaume ni vema kujipangilia  endapo utavaa Shati jeusi basi tambua utavaa na suruali gani kulingana na Shati lilivyobuniwa kama linaendana na Jinsi vaa Jinsi na kama linafaa kuvalia suruali ya kitambaa vaa hivyo pia zingatia mazingira unayokwenda.

Usivae Nguo ambayo inakuficha sana Mwili wako.




Pic credit.www.aliexpress.com


Sina maana kuwa watu wavae nguo za kuacha miili yao,ni kwamba vaa nguo ya heshima na iliyo katika mpangilio kama fupi isidhidi magoti,pia kama ndefu iwe ndefu isiwe ya kuishia katikati ya miguu,Kitu ninacho maanisha ni kwamba tusiwe na tabia ya kuvaa nguo nyingi kwa wakati mmoja kiasi kwamba hueleweki umevaa nini? Na kuufanya mwili wako kuelemewa na nguo.Usipende kuvaa vitu vizito au kiatu chenye sori ambayo ni nzito na I kakupelekea kushindwa kutembea.

Kuvaa Brazia ambayo sio kipimo cha maziwa yako.

Bra
Ukikosea kipimo cha maziwa yako katika kuchagua Brazia ya kuvaa,Maziwa yako yatashuka chini na kukufanya uonekane un Maziwa makubwa,  Mama anaye nyonyesha akijua kipimo cha maziwa yake anaweza kuonekana mrembo zaidi kuliko wewe ambaye Brazia yako imebeba maziwa.Kama hujui kipimo cha maziwa yako,jaribu kwenda maduka ya hivyo vitu na utatambua kipimo chako.

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu