Enter your keyword

Culture for Life.

Wednesday, April 10, 2019

Umuhimu wa wazo katika Ubunifu . .#Afriposhdesign #Tanzania culture

By On April 10, 2019

Wasifu Binafsi
Jina -Glory James
Primary-Nkoanrua P.School
Secondary-Nkoanrua S.School
Univerisity-SUA
Wazo lako ndiyo utajiri wa maisha yako,Mtu mwingine hawezi kujua mawazo yako zaidi ya wewe mwenyewe utakapo lifanyia kazi wazo lako.Marafiki, wazazi,ndugu na watu wanao kuzunguka hawezi kuona faida ya wazo ikiwa wewe mwenyewe huwezi kulifanyia kazi ili waweze kuliona.

Safari ya Binti  Glory katika tasinia ya ubunifu
Amesomea mambo ya kilimo lakini aliona vema kutumia kipaji chake badala ya kuajiliwa.Afriposhi ilifanikiwa alipoamua kufanya na kuhakikishia umma kuwa inawezekana kufanya kazi za mikono bila kusita na kusubiri ajira .Anasema"Wazazi wangu hawakupenda nijiajiri lakini nilipowashilikisha na kuonesha juhudi, mama yangu alianza kunisaidia,na biashara yangu nafanya kupitia mindao ya kijamii hasa Instagram,Kupitia Instagram napata wateja wengi kutoka n'je na kidogo ndani ya nchi" Mpaka sasa ana followers 30.9k





Watanzania wengi hawajui namna ya kuvaa mapambo ya kiutamaduni(accesories) na mavazi yao jambo ambalo linapelekea kukosa wateja wa ndani.Wengi huamini kuwa vitu vya utamaduni vinafaa kuvaliwa na nguo za kitamaduni kitu ambacho sio sahihi kabisa.Vazi lolote linaweza kuvaliwa na culture yoyote ilimradi uzingatie muktadha(Location)

Changamoto anazokumbana nazo kubwa ni soko la ndani kutofahamu umuhimu wa vitu vya ndani na kujua namna ya kuvitumia hivyo ina mrudisha nyuma kibiashara na kujikita na soko la n'je.Wakati mwingine huwa inambidi kufundisha watu namna ya kuvaa na nguo.

Ushauri wangu kwa mabinti ni kuweza kuyafanyia kazi mawazo yao na kuacha kubweteka kwani linapoanza wazo moja huzaliwa wazo lengine.


Amekwisha valisha wasanii kama:Jokate Mwegelo na Janethn Jackson n.k
kwa maelezo zaid mfollow instagram: #Afriposhdesigns.  #Afriposhdesign or Glory
Anapatikana Arusha viwanja vya nanenane.
Phone no.0757074590,0756377940

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu