Enter your keyword

Culture for Life.

Tuesday, November 17, 2015

KEEP IT SIMPLE IN BLACK AND WHITE OUTFITS

By On November 17, 2015


kristine  Turn heads with a body con two toned black and white dress.

Ashle Madewke

BANTU MEN IN AFRICAN STYLE

By On November 17, 2015






Tuesday, September 29, 2015

WASANII WA BONGO MOVIE WAIBUKIA MJINI IRINGA,WATANGAZA KUTEMBEA NCHI NZIMA KWA BAJAJ KUMUUNGA MKONO DKT MAGUFULI

By On September 29, 2015
Wasanii nyota wa Filamu hapa nchini wakiongozwa na Jacob Steven a.k.a JB wakiwa wamenyanyua juu mikono yao kwa pamoja ni Ushindi sambamba na Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli (wa tatu kushoto),kuonesha kuwa wasanii hao wanamuunga mkono Dkt Magufuli katika mbio zake za kuusaka Urais kwa kutembea nchi nzima kutumia Bajaji zao tano,ambapo Bajaj mojawapo itakuwa na kazi ya kukusanya kadi za wale wanaomua kurudi/kujiunga na chama cha CCM.
PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-IRINGA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wananchi wa Iringa na vitongoji vyake kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika jioni ya leo septemba 28 ndani ya uwanja wa Samora mkoani Iringa.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wananchi wa Iringa na vitongoji vyake kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika jioni ya leo septemba 28 ndani ya uwanja wa Samora mkoani Iringa.



Saturday, July 25, 2015

KANDAMA MALUNDE ACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI MPYA WA WANAHABARI SHINYANGA

By On July 25, 2015
Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga aliyemaliza muda wake, Shija Felician akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga, Kadama Malunde (mwenye suti) baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi wa Klabu hiyo.
Mwenyekiti mpya wa SPC Kadama Malunde, ambaye pia ni Mkurugezi wa Malunde1 blog akipongezana na mwenyekiti aliyemaliza muda wake Shija Felician (kulia)

Viongozi wa Klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Shinyanga waliomaliza muda wao wakijiuzuru nyadhifa zao kabla ya uchaguzi mkuu kupata viongozi wapya wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club).                                                                                                                                                                                       
Kadama Malunde Mwenyekiti Mpya wa Wanahabari Shinyanga

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga

CHAMA cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club-SPC) jana Julai 23, 2015 kimefanya Uchaguzi wake Mkuu wa viongozi watakaokiongoza chama hicho kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo ambapo mwanahabari, Kadama Malunde amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa chama hicho.

Akitangaza matokeo hayo Msimamizi wa Uchaguzi huo Mkuu wa SPC uliofanyika mjini Shinyanga, David Nkulila alisema, Malunde ametwaa nafasi hiyo baada ya kuwashinda wagombea wenzake watatu ambao ni Patrick Mabula, Marco Mipawa na Greyson Kakuru.

Kadama Malunde ni mwandishi wa habari wa gazeti la Mtanzania, Kahama FM na Mkurugenzi wa Malunde1 blog ambayo ni blogu Mwanachama wa Chama cha Blogu Tanzania (Tanzania Bloggers Network, TBN).

Nkulila aliwataja viongozi wengine wapya waliochaguliwa kuwa ni Stephen Wang’anyi akichaguliwa kuwa Katibu Mkuu, Shaaban Alei kuwa Makamu Mwenyekiti, Katibu Msaidizi Ally Lytawi na mweka hazina ni Stella Ibengwe pamoja na kamati tendaji ya wajumbe watano.

Baada ya kutangaza matokeo hayo Nkulila amewataka wanachama wa klabu hiyo, kuachana na tofauti zillizokuwepo wakati wa uchaguzi na badala yake kushirikiana na viongozi waliowachaguliwa ili kuleta maendeleo na mabadiliko katika klabu hiyo.

Akizungumza mara baada ya kutangazwa mshindi, Mwenyekiti mpya wa SPC, Kadama aliwashukuru wanachama wote wa chama hicho kwa kumkubali aweze kushirikiana nao kuweza kutatua changamoto mbalimbali za wanahabari mkoani hapo pamoja na kuleta maendeleo kwa klabu hiyo. Aidha aliahidi kutenda haki kwa kila mmoja na kuzingatia katiba ya chama katika utendaji wa kazi za chama.

Kwa upande wake Mwenyekiti aliyemaliza muda wake, Felician amewataka viongozi wapya wa klabu hiyo kuendeleza misingi ya ushirikiano waliouacha na kuwasisitiza kufanya kazi kwa uwazi na ukweli huku wakizingatia maadili ya wanahabari.

Wednesday, July 22, 2015

FIVE TIPS ON HOW TO GROW EYELASHES

By On July 22, 2015


  1. 1. Using a volumizing mascara or lengthening and thickening mascara are the first step you take when you want to redeem your lashes. While waiting for them to grow look for a very good brand of mascara.
  2.  Vegetables and whole grain are really good for the body and the eyelashes, you can also take biotin and vitamin A or E multi vitamin capsules as they are known to increase growth.
  3. Good eyelashes conditioning products work also asides from helping growth, they reduce damaging, they are healthy and soft. one of the recommended lashes is NutraLuxe Lash MD.
  4. Another thing to use are eyelashes enhancers, Products like M2lashes Eyelash Activating Serum are really good. just make sure you read thoroughly and check the review and rating of any eyelashes enhancer you want to purchase.
  5.  You can also go the natural way by using castor oil mixed with either egg white or glycerin. if you are using Glycerin use 2 drops of glycerin in a 1/2 a teaspoon of castor oil. Also pure petroleum jelly like Vaseline can do a lot of work.

Friday, June 26, 2015

JINSI YA KUTUMIA LIPSTICK(RANGI YA MDOMO)

By On June 26, 2015

KAMA UNA MIDOMO(LIPS)NDOGO HAKIKISHA USIKOREZE SANA LIPSTICK YAKO ITAFANYA MIDOMO YAKO IONEKANE VIBAYA.PAKA KISHA TUMIA WANJA KUUFANYA MUONEAKANO MZURI WA MDOMO WAKO.

KERRY WASHINGTON,LUPITA NYONGO NA RIHANNA,WOTE WAMEPAKA RANGI KULINGANA NA NGOZI ZAO.

BAADHI YA HIZO PICHA ZITAKUONGOZA NAMNA YA KUPAKA LIPSTICK  KULINGANA NA NGOZI YAKO.

MEN SUIT.

By On June 26, 2015

VAZI LA SUTI NI VAZI AMBALO UNAWEZA KUVAA OFISI,KWENYE MIKUTANO,HARUSINI,KANISANI N.K.


WANAUME WENGI HUPENDELEA RANGI NYEUSI,LAKINI TAMBUA KUWA KUNA RANGI AMBAZO HAZIJAZOELEKA ZIKIVALIWA VEMA ZINAVUTIA ZAIDI.

 

HAKIKISHA SUTI YAKO INAKUKAA VIZURI SIYO BEGA MOJA KUBWA LINGINE DOGO,MIKONO MIREFU KUZIDI MKONO WAKO N.K


PIA CHAGUA KITAMBAA KIZURI SI KILA KITAMBAA KINAFAA KWASUTI.


Friday, June 12, 2015

MISHONO MIPYA 10 YA VITENGE 2015

By On June 12, 2015

AFRICAN HEADWRAP(KILEMBA)

By On June 12, 2015
Zamani mimi wakati nakuwa miaka ya 90 huko ilikuwa ukijifunga kiremba kama hivi unaonekana mshamba ila hivi sasa ndiyo habari ya mjini,watu wanasema remba unaweza vaa kwenye pati,kanisani,msimbani,kazini na kwenye mtoko wako,isipokuwa ufungaji wa remba hili hutegemea pia mazingira unayo kwenda usije funga remba na mtoko msibani au remba la harusi msibani au kwenye mtoko au mishe zako.Leo katika safu hii ya ubunifu na mitindo nitatupia picha chache  jinsi ya kufunga Afrcan Headwrap

AFRICAN HEADWRAP


MAKENZ GOWN

AFRICAN HEADWRAP WITH SIMPLE MAKEUP


INGIZO JIPYA LA INDIAN LACE NA FRENCH LACE 2015

By On June 12, 2015

Purple Yoke lace gauni imechanganywa na satini.Bila kusahau kutupia remba(African Gele)


MITINDO YA VITENGE 2015.

By On June 12, 2015

REMBA NDIYO HABARI YA MJINI KWASASA USIPITWE,UNAWEZA KUTUMIA VITAMBAA VYA SATINI,VElVET,LACE,KITENGE n.k

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu