SEHEMU TULIVU
Mwana-adamu kwa kawaida ameumbwa naa mambo mengi lakini kitu ambacho mpka leo hiii hakuna alie na jibu ni kwamba ni nini hasa hutokea akilini pale uonapo au utizamapo mandhari yanayovutia? Ghafla unajikuta akili yako inabadilika na mawazo kupungua uonapo kitu ambacho ni kizuriii na kinakuvutia hasa mazingira.
Riadha : NMB Yamkabidhi Mwanariadha Alphonce Simbu Sh Milioni 10 Maandalizi
ya Sydney Marathon Agosti 30
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Benki ya NMB imekabidhi udhamini wa Sh10 milioni kwa mwanariadha wa
Tanzania, Alphonce Simbu, ili kumsaidia katika maandalizi...
6 days ago


No comments:
Post a Comment