SEHEMU TULIVU
Mwana-adamu kwa kawaida ameumbwa naa mambo mengi lakini kitu ambacho mpka leo hiii hakuna alie na jibu ni kwamba ni nini hasa hutokea akilini pale uonapo au utizamapo mandhari yanayovutia? Ghafla unajikuta akili yako inabadilika na mawazo kupungua uonapo kitu ambacho ni kizuriii na kinakuvutia hasa mazingira.
CRIO INTERNATIONAL BIBLE COLLEGE YATOA FURSA YA MAFUNZO YA BIBLIA KWA
WATUMISHI
-
Mkurugenzi wa CRIO International Bible College, *Dr. Willy K. Ackyoo*,
amewakaribisha watumishi wa Mungu na wananchi wote wenye nia ya kujifunza
Neno ...
2 days ago


No comments:
Post a Comment