SEHEMU TULIVU
Mwana-adamu kwa kawaida ameumbwa naa mambo mengi lakini kitu ambacho mpka leo hiii hakuna alie na jibu ni kwamba ni nini hasa hutokea akilini pale uonapo au utizamapo mandhari yanayovutia? Ghafla unajikuta akili yako inabadilika na mawazo kupungua uonapo kitu ambacho ni kizuriii na kinakuvutia hasa mazingira.
ELIMU YA WATU WAZIMA YAZIDI KUPAA ARUSHA
-
Mgeni Rasmi katika hafla ya maadhimisho ya wiki ya Elimu ya Watu Wazima
Wilaya ya Arusha,Bi. Chausiku Baha akivalishwa skafu na mmoja wa Wanafunzi
waliop...
2 days ago
No comments:
Post a Comment