SEHEMU TULIVU
Mwana-adamu kwa kawaida ameumbwa naa mambo mengi lakini kitu ambacho mpka leo hiii hakuna alie na jibu ni kwamba ni nini hasa hutokea akilini pale uonapo au utizamapo mandhari yanayovutia? Ghafla unajikuta akili yako inabadilika na mawazo kupungua uonapo kitu ambacho ni kizuriii na kinakuvutia hasa mazingira.
Mwenyekiti wa bodi ya wakala wa usalama na afya mahala pa kazi atembelea
banda la kiwanda cha A to Z
-
Mwenyekiti wa bodi ya wakala wa usalama na afya mahala pa kazi Adelhelm
James Meru amefurahishwa na kona uwekezaji mkubwa uliowekwa katika vifaa
...
1 day ago
No comments:
Post a Comment