SEHEMU TULIVU
Mwana-adamu kwa kawaida ameumbwa naa mambo mengi lakini kitu ambacho mpka leo hiii hakuna alie na jibu ni kwamba ni nini hasa hutokea akilini pale uonapo au utizamapo mandhari yanayovutia? Ghafla unajikuta akili yako inabadilika na mawazo kupungua uonapo kitu ambacho ni kizuriii na kinakuvutia hasa mazingira.
HUDUMA ZA MATIBABU BILA MALIPO ZAANZA RASMI ARUSHA
-
Wananchi wa Jiji la Arusha na maeneo mbalimbali nchini wameanza kupatiwa
huduma za matibabu ya kibingwa bila malipo katika Kambi ya Matibabu ya
Arush...
1 day ago


No comments:
Post a Comment