SEHEMU TULIVU
Mwana-adamu kwa kawaida ameumbwa naa mambo mengi lakini kitu ambacho mpka leo hiii hakuna alie na jibu ni kwamba ni nini hasa hutokea akilini pale uonapo au utizamapo mandhari yanayovutia? Ghafla unajikuta akili yako inabadilika na mawazo kupungua uonapo kitu ambacho ni kizuriii na kinakuvutia hasa mazingira.
Dkt. Kijaji azindua Bodi mpya ya Ngorongoro, awaapisha Kamishna wa Uhifadhi
-
Dkt. Kijaji azindua Bodi mpya ya Ngorongoro, awaapisha Kamishna wa
UhifadhiAagiza ongezeko la vitanda vya malazi na ubunifu zaidi kwenye sekta
ya utal...
1 day ago


No comments:
Post a Comment