SEHEMU TULIVU
Mwana-adamu kwa kawaida ameumbwa naa mambo mengi lakini kitu ambacho mpka leo hiii hakuna alie na jibu ni kwamba ni nini hasa hutokea akilini pale uonapo au utizamapo mandhari yanayovutia? Ghafla unajikuta akili yako inabadilika na mawazo kupungua uonapo kitu ambacho ni kizuriii na kinakuvutia hasa mazingira.
UZINDUZI WA MATOKEO YA SENSA YA KITAIFA YA WANYAMA PORI WAFANYIKA ,SWALA
TWIGA WAHOFIWA KUTOWEKA ,KIJAJI ATAKA UCHUNGUZI WA HARAKA
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji, ameitaka Wizara ya
Maliasili na Utalii, Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori ...
1 week ago


No comments:
Post a Comment