SEHEMU TULIVU
Mwana-adamu kwa kawaida ameumbwa naa mambo mengi lakini kitu ambacho mpka leo hiii hakuna alie na jibu ni kwamba ni nini hasa hutokea akilini pale uonapo au utizamapo mandhari yanayovutia? Ghafla unajikuta akili yako inabadilika na mawazo kupungua uonapo kitu ambacho ni kizuriii na kinakuvutia hasa mazingira.
WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE ZASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA KILIMO
DODOMA
-
Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake zinashiriki Katika Maonesho
ya Kimataifa ya Kilimo ambayo yameanza Tarehe 1 Agosti Katika Viwanja
Nzug...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment