UTULIVU
Wakati mwingine akili huhitaji sehemu tulivuuu ili ipumzike japo kimawazo kulingana na siku yako ilivyokuwa na mambo uliyokutana nayo toka ulipoamka mpaka jua kuzama. Jipe amani nafsini mwako
Msibani : Marehemu Jenista Mhagama Alikuwa Kiongozi Jasiri, Mwaminifu na
Mlezi wa Viongozi Wengi - Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo
ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga
mwi...
20 hours ago


No comments:
Post a Comment