UTULIVU
Wakati mwingine akili huhitaji sehemu tulivuuu ili ipumzike japo kimawazo kulingana na siku yako ilivyokuwa na mambo uliyokutana nayo toka ulipoamka mpaka jua kuzama. Jipe amani nafsini mwako
Mchengerwa Avunja Mabaraza ya Madiwani, Atangaza Wabaki na Vitendea Kazi
-
Na Woinde Shizza, Arusha
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, ametangaza rasmi kuvunjwa...
18 hours ago
No comments:
Post a Comment