UTULIVU
Wakati mwingine akili huhitaji sehemu tulivuuu ili ipumzike japo kimawazo kulingana na siku yako ilivyokuwa na mambo uliyokutana nayo toka ulipoamka mpaka jua kuzama. Jipe amani nafsini mwako
MEYA ATOA ONYO KALI WAKATI WA UZINDUZI WA KAMPENI YA “NG’ARISHA JIJI”
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa onyo kali kwa
watendaji wa jiji, maafisa afya, wazabuni wa taka...
1 day ago


No comments:
Post a Comment