KANDAMA MALUNDE ACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI MPYA WA WANAHABARI SHINYANGA
By
SINYATIBLOG
On
July 25, 2015
In
Maisha
Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga aliyemaliza
muda wake, Shija Felician akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Waandishi wa
Habari Mkoa wa Shinyanga, Kadama Malunde (mwenye suti) baada ya
kutangazwa mshindi katika uchaguzi wa Klabu hiyo.
Mwenyekiti mpya wa SPC Kadama Malunde, ambaye pia ni Mkurugezi wa
Malunde1 blog akipongezana na mwenyekiti aliyemaliza muda wake Shija...