Enter your keyword

Culture for Life.

Thursday, June 13, 2013

Massage(Kukanda) Mwanaume.

Massage pic www.boracaymassagevegas.co

Massage Picwww.products.mercola.com


Vipele vya kumyegesha mwanaume viko vingi na sehemu tofauti na hutegemea zaidi na mwanaume mwenyewe na vilevile jinsi wewe utakavyo vitumia/chezea ili kumfurahisha mwenzi wako au "kumnyegesha" (turn on).

Pamoja na utofauti wao wanaume kwa ujumla wanapenda sana kukandwa sehemu ya juu ya mgongo, kiunoni, makalio yao, miguu(hasa vikanyagio) sehemu ya nyuma ya mapaja, ile sehemu ya ndani ya mapaja bila kusahau makende na uume.

Kama mara kwa mara unamkanda "massage" mpenzi wako(mwanaume) lakini hata siku moja hajawahi kunyegeka (na wewe ungependa kumnyegesha kwa massage) basi jaribu hii na ninakuhakikishia mambo yatakuwa mazuri kabisa.
  • Mlaze kifudi-fudi,kisha mkalie kiunoni (natumai huna uzito wa zaidi ya kg 60) na anza kufanyia kazi sehemu ya kichwa (pembeni kule karibu na macho) huku ukimpa maneno mazuri yakumfanya asahau matatizo yaliyojitokeza kazini au kwenye shughuli zake nyingine za kuendesha kimaisha na kuhamishia akili yake hapo alipo.
  • Hamishia viganja vyako taratibu sehemu ya shingo...usikae sana hapa.....then hamia mabegani namoja kwa moja mgononi tumia muda wa dk 20 hivi kumkanda mabega na mgongo na wakati huu utapaswa kujiinua kidogo ili uweze kupitisha viganja vyako kiunoni).
  •   kisha jiweke katikati ya miguu yake na ipanue miguu hiyo ili upate nafasi ya kufanya shughuli yako. Kwa kutumia mafuta maalum kwa ajili ya "massage" au unaweza kutumia baby oli au lotion yeyote yenye asili ya mafuta (yenye asili ya maji hukauka haraka).
  • Mwagia kiasi mafuta yao juu ya makalio yake na pitisha viganja vyako kama vile unampaka mtoto (sio kwa nguvu) ukisha eneza sehemu nzima sasa endelea kumkanda makalio yake taratibu na tumia kama dk15-20 alafu shuka taratibu kwenye sehemu ya nyuma ya mapaja yake fanyia kazi paja moja baada ya lingine.

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu