Rangi za nguo zao zinanivutia ukiachia mbali shanga na rangi wanazojipaka usoni pamoja na mapambo ambayo wana weka katika nguo zao.Leo nitaktupia baadhi ya picha tu za mavazi ya kabila hili la Xhosa linalopatikana Afrika kusini.
MABEYO AWATAKA VIONGOZI WA NGORONGORO KUIMARISHA UTALII NA UHIFADHI
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
(NCAA), Jenerali mstaafu *Venance Mabeyo*, amewataka vio...
1 day ago







No comments:
Post a Comment