Rangi za nguo zao zinanivutia ukiachia mbali shanga na rangi wanazojipaka usoni pamoja na mapambo ambayo wana weka katika nguo zao.Leo nitaktupia baadhi ya picha tu za mavazi ya kabila hili la Xhosa linalopatikana Afrika kusini.
BENO MALISA AFUNGUA MAONYESHO YA KUSINI FESTIVE
-
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Beno Malisa, amefungua rasmi Maonyesho ya Kusini
Festive, akiwataka wananchi, wafanyabiashara na wawekezaji kuyatumia kama
fu...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment