Enter your keyword

Culture for Life.

Saturday, May 9, 2015

VYAKULA AMBAVYO MAMA MJAMZITO HAPASWI KUTUMIA.

Mjali mwanao.

Mama Mjamzito waweza kula kwa mpangilo huu.

  1. Mlo wa Asubuhi:    A - Chungwa/ Embe/ Ndizi mbivu/ Parachichi,  B - Mkate/ Maandazi/ Chapati/ Vitumbua,Uji      C - Karoti    D - Mayai,    E - Maziwa/ Mtindi/ Siagi/ Maziwa ya  Soya
  2. Mlo wa Mchana:     - Parachichi/ Papai/ Ndizi/ Embe na chungwa,  B - Ugali/ Wali/ Ndizi/ Makande/ Tambi          C - Mchicha/ matembele/ Mnavu/ Kisamvu/ Spinach/ Kabeji,      - Maharage/ Samaki/ Kuku/ Njugu/ Nyama/ Dagaa        E - Maziwa/ Mtindi/ Siagi/ Maziwa ya  Soya.
  3. Mlo wa Usiku:        A - Parachichi/ Papai/ Ndizi/ Embe na Chungwa,   B - Wali/ Ndizi/ Viazi/ Tambi/ Chapati          - Mchicha/ Matembele/ Mnavu/ Kisamvu/ Spinach/ Kabeji,      - Maharage/ Samaki/ Kuku/ Njugu/ Nyama/ Dagaa           - Maziwa/Mtindi/Siagi/Maziwa ya  Soya.
  4.  

Vitu na Vyakula vya kuepuka mama mjamzito.
  • Matumizi ya Pombe wakati wa ujauzito huathiri mtoto. Hurusiwi kutumia pombe.
  • Uvutaji Sigara
  • Kupunguza unywaji wa kahawa au vinywaji vyenye caffeine nyingi.
  • Samaki aina ya papa, swordfish, tilefish na king mackerel kwani wana mekuryi kwa wingi ambayo ni mbaya kwa afya

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu