Suti yenye kifungo kimoja,mtindo wa suruali kama unavyouona haijafika mwenye ankle.
Muonekano huu pia ni mzuri.kwa MTU ambaye hana tumbo kubwa.
Muonekano huu umekuwa ukiwa vutia wadada wengi .ni vema pia unapoushona hakikisha unamguu wa kuvalia isije onekana suti kama imetundikwa.
TCAA YATOA MKONO WA PASAKA KITUO CHA KULELEA WATOTO CHA ZILI
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imekabidhi mahitaji kwa kituo
cha kulea watoto cha ZILI kilichopo Kipawa Jijini Dar es Salaam ikiwa ni
sehe...
3 days ago
This is real nice ever...I love African's beauty
ReplyDeletethank you
Delete