Suti yenye kifungo kimoja,mtindo wa suruali kama unavyouona haijafika mwenye ankle.
Muonekano huu pia ni mzuri.kwa MTU ambaye hana tumbo kubwa.
Muonekano huu umekuwa ukiwa vutia wadada wengi .ni vema pia unapoushona hakikisha unamguu wa kuvalia isije onekana suti kama imetundikwa.
ELIMU YA WATU WAZIMA YAZIDI KUPAA ARUSHA
-
Mgeni Rasmi katika hafla ya maadhimisho ya wiki ya Elimu ya Watu Wazima
Wilaya ya Arusha,Bi. Chausiku Baha akivalishwa skafu na mmoja wa Wanafunzi
waliop...
1 day ago
This is real nice ever...I love African's beauty
ReplyDeletethank you
Delete