Kapeti au Zuria.Watu udhani kuwa ni lazima kuweka zuria Sebule nzima,Tumia mazuria madogo sebuleni upande wa meza ya chakula weka zuria chini ya meza ya chakula na sehemu ya Faragha(sitting room) weka zuria katikati ya sofa zako.Pia katika kuchagua zuria mpenzi msomaji jitahidi kutambua mazingira ya nyumbani kwako kama una watoto ni vema ukachagua zuria ambalo sio jeupe hakikisha lina rangi ambazo zitakusaidia kuonyesha usafi.Siyo vibaya ukioanisha zuria na rangi moja wapo ya sofa ,ukuta na mito.Epuka utumiaji wa zuria lenye michoro mingi kama sofa zako zina michoro au rangi nyingi.Kama sofa zako zina rangi moja tumia zuria la aina hiyo.
WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE ZASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA KILIMO
DODOMA
-
Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake zinashiriki Katika Maonesho
ya Kimataifa ya Kilimo ambayo yameanza Tarehe 1 Agosti Katika Viwanja
Nzug...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment