Kapeti au Zuria.Watu udhani kuwa ni lazima kuweka zuria Sebule nzima,Tumia mazuria madogo sebuleni upande wa meza ya chakula weka zuria chini ya meza ya chakula na sehemu ya Faragha(sitting room) weka zuria katikati ya sofa zako.Pia katika kuchagua zuria mpenzi msomaji jitahidi kutambua mazingira ya nyumbani kwako kama una watoto ni vema ukachagua zuria ambalo sio jeupe hakikisha lina rangi ambazo zitakusaidia kuonyesha usafi.Siyo vibaya ukioanisha zuria na rangi moja wapo ya sofa ,ukuta na mito.Epuka utumiaji wa zuria lenye michoro mingi kama sofa zako zina michoro au rangi nyingi.Kama sofa zako zina rangi moja tumia zuria la aina hiyo.
Msibani : Marehemu Jenista Mhagama Alikuwa Kiongozi Jasiri, Mwaminifu na
Mlezi wa Viongozi Wengi - Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo
ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga
mwi...
20 hours ago





No comments:
Post a Comment