Kujivunia vitu vya asili ni muhimu kwa kila mwananchi bila kujali utaifa wako.Leo nitaongelea ubebaji wa mikoba ya asili wakati unapokwenda kupumzika ufukweni na familia yako,marafiki au mpenzi wako.Basi vitu vyako unaweza weka katika mikoba hii,pia hakikisha unavaa viatu flat kama ambavyo vinaonekana hapo.
CRIO INTERNATIONAL BIBLE COLLEGE YATOA FURSA YA MAFUNZO YA BIBLIA KWA
WATUMISHI
-
Mkurugenzi wa CRIO International Bible College, *Dr. Willy K. Ackyoo*,
amewakaribisha watumishi wa Mungu na wananchi wote wenye nia ya kujifunza
Neno ...
2 days ago




No comments:
Post a Comment