Kujivunia vitu vya asili ni muhimu kwa kila mwananchi bila kujali utaifa wako.Leo nitaongelea ubebaji wa mikoba ya asili wakati unapokwenda kupumzika ufukweni na familia yako,marafiki au mpenzi wako.Basi vitu vyako unaweza weka katika mikoba hii,pia hakikisha unavaa viatu flat kama ambavyo vinaonekana hapo.
ZAIDI YA WASICHANA LAKI MBILI KUKIGWA NA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI
-
Jumla ya wasichana 217453 wenye kuanzia miaka 9 hadi 14 kutoka Wilaya za
mkoa wa Tanga,wamelengwa kuchanjwa chanjo ya kinga dhidi ya virusi
vinavyosabab...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment