Kujivunia vitu vya asili ni muhimu kwa kila mwananchi bila kujali utaifa wako.Leo nitaongelea ubebaji wa mikoba ya asili wakati unapokwenda kupumzika ufukweni na familia yako,marafiki au mpenzi wako.Basi vitu vyako unaweza weka katika mikoba hii,pia hakikisha unavaa viatu flat kama ambavyo vinaonekana hapo.
Tumekuja kufanya mapinduzi” — Digingoto afunguka kuhusu Arusha Classic Band
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Bendi mpya ya muziki wa dansi ya Arusha Classic Band imeanza kujizolea
umaarufu ndani ya Mkoa wa Arusha na maeneo ya jirani, h...
5 days ago




No comments:
Post a Comment