Kujivunia vitu vya asili ni muhimu kwa kila mwananchi bila kujali utaifa wako.Leo nitaongelea ubebaji wa mikoba ya asili wakati unapokwenda kupumzika ufukweni na familia yako,marafiki au mpenzi wako.Basi vitu vyako unaweza weka katika mikoba hii,pia hakikisha unavaa viatu flat kama ambavyo vinaonekana hapo.
ELIMU YA FEDHA YAONGEZA MATUMAINI ARUSHA: WANANCHI WAPATA MWANGA WA KIUCHUMI
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Halmashauri ya Jiji la Arusha imezindua rasmi zoezi la uhamasishaji wa
wananchi kuhusu fursa mbalimbali zilizopo ndani ya jiji h...
2 days ago




No comments:
Post a Comment