Kujivunia vitu vya asili ni muhimu kwa kila mwananchi bila kujali utaifa wako.Leo nitaongelea ubebaji wa mikoba ya asili wakati unapokwenda kupumzika ufukweni na familia yako,marafiki au mpenzi wako.Basi vitu vyako unaweza weka katika mikoba hii,pia hakikisha unavaa viatu flat kama ambavyo vinaonekana hapo.
BENO MALISA AFUNGUA MAONYESHO YA KUSINI FESTIVE
-
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Beno Malisa, amefungua rasmi Maonyesho ya Kusini
Festive, akiwataka wananchi, wafanyabiashara na wawekezaji kuyatumia kama
fu...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment