Kujivunia vitu vya asili ni muhimu kwa kila mwananchi bila kujali utaifa wako.Leo nitaongelea ubebaji wa mikoba ya asili wakati unapokwenda kupumzika ufukweni na familia yako,marafiki au mpenzi wako.Basi vitu vyako unaweza weka katika mikoba hii,pia hakikisha unavaa viatu flat kama ambavyo vinaonekana hapo.
Maisha : Zaidi ya Wananchi 9,000 Kunufaika na Huduma ya wilaya ya Korogwe
-
Na Oscar Assenga, TANGA
ZAIDI ya Wananchi 9,450 wa wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga wanatarajiwa
kuondokana na changamoto ya upatkanaji wa maji baada ya...
1 day ago
No comments:
Post a Comment