Kujivunia vitu vya asili ni muhimu kwa kila mwananchi bila kujali utaifa wako.Leo nitaongelea ubebaji wa mikoba ya asili wakati unapokwenda kupumzika ufukweni na familia yako,marafiki au mpenzi wako.Basi vitu vyako unaweza weka katika mikoba hii,pia hakikisha unavaa viatu flat kama ambavyo vinaonekana hapo.
Dkt. Kijaji azindua Bodi mpya ya Ngorongoro, awaapisha Kamishna wa Uhifadhi
-
Dkt. Kijaji azindua Bodi mpya ya Ngorongoro, awaapisha Kamishna wa
UhifadhiAagiza ongezeko la vitanda vya malazi na ubunifu zaidi kwenye sekta
ya utal...
1 day ago




No comments:
Post a Comment