Kujivunia vitu vya asili ni muhimu kwa kila mwananchi bila kujali utaifa wako.Leo nitaongelea ubebaji wa mikoba ya asili wakati unapokwenda kupumzika ufukweni na familia yako,marafiki au mpenzi wako.Basi vitu vyako unaweza weka katika mikoba hii,pia hakikisha unavaa viatu flat kama ambavyo vinaonekana hapo.
Baishara : NMB yakabidhi misaada ya Mil. 21.6/- Shule za Msingi, Sekondari
Malinyi
-
Kupitia Programu ya Uwekezaji kwa Jamii, Benki ya NMB imekabidhi misaada ya
madawati 100, viti 100 na meza 100 kwa shule mbili za msingi na moja ya
sekon...
8 hours ago




No comments:
Post a Comment