Zamani sngland(jogger) zilikuwa zikivaliwa na wanaume kwa ajili ya michezo.Joga ni huwa na kitambaa kinachotanuka,pia huwa nyepesi vilevile huwa hazingizi joto.Hivyo wanaume wengi hupenda kuvalia ndani ya nguo zao kabla ya kuvaa shati au kuweka jacketi juu.Kwa ajili ya kazi ni vema kuwa na joga nyeupe ambayo hata ukivalia suti au wakati wa joto unapovaa si rahisi kupitisha joto.
AGROGHABE YAWAHIMIZA WAKULIMA KUTUMIA MBINU ZA KISASA ZA KILIMO NA UFUGAJI
-
Na Woinde Shizza ,Mbeya
Meneja Mauzo na Masoko wa kampuni ya Agroghabe, Alex King, amewataka
wakulima na wafugaji kote nchini kufuata ushauri wa wata...
17 hours ago
No comments:
Post a Comment