Zamani sngland(jogger) zilikuwa zikivaliwa na wanaume kwa ajili ya michezo.Joga ni huwa na kitambaa kinachotanuka,pia huwa nyepesi vilevile huwa hazingizi joto.Hivyo wanaume wengi hupenda kuvalia ndani ya nguo zao kabla ya kuvaa shati au kuweka jacketi juu.Kwa ajili ya kazi ni vema kuwa na joga nyeupe ambayo hata ukivalia suti au wakati wa joto unapovaa si rahisi kupitisha joto.
SERIKALI KUTOA MAFUNZO MAALUM KWA MABLOGA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam — Serikali imetangaza mpango wa kutoa
mafunzo maalum kwa waandishi wa blogu nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi
ya ...
1 day ago
No comments:
Post a Comment