Zamani sngland(jogger) zilikuwa zikivaliwa na wanaume kwa ajili ya michezo.Joga ni huwa na kitambaa kinachotanuka,pia huwa nyepesi vilevile huwa hazingizi joto.Hivyo wanaume wengi hupenda kuvalia ndani ya nguo zao kabla ya kuvaa shati au kuweka jacketi juu.Kwa ajili ya kazi ni vema kuwa na joga nyeupe ambayo hata ukivalia suti au wakati wa joto unapovaa si rahisi kupitisha joto.
MKUTANO WA UTOFAUTI WA KITAALUMA 2025: MAWAKILI WAJADILI MUSTAKABALI WA
MAZINGIRA YA KAZI
-
Na Woinde Shizza , Arusha
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimewakutanisha mawakili wa serikali
kutoka mikoa mbalimbali nchini katika Mkutano w...
2 days ago


No comments:
Post a Comment