Zamani sngland(jogger) zilikuwa zikivaliwa na wanaume kwa ajili ya michezo.Joga ni huwa na kitambaa kinachotanuka,pia huwa nyepesi vilevile huwa hazingizi joto.Hivyo wanaume wengi hupenda kuvalia ndani ya nguo zao kabla ya kuvaa shati au kuweka jacketi juu.Kwa ajili ya kazi ni vema kuwa na joga nyeupe ambayo hata ukivalia suti au wakati wa joto unapovaa si rahisi kupitisha joto.
Afya : QYT Yaendelea Kupanua Huduma zake Jijini Dar es Salaam
-
Kampuni ya QYT inayojihusisha na huduma za tiba mbadala pamoja na kutoa
fursa Kwa vijana, imeendelea kupanua miradi yake Kwa kufunga tawi jipya
katika...
1 day ago
No comments:
Post a Comment