Zamani sngland(jogger) zilikuwa zikivaliwa na wanaume kwa ajili ya michezo.Joga ni huwa na kitambaa kinachotanuka,pia huwa nyepesi vilevile huwa hazingizi joto.Hivyo wanaume wengi hupenda kuvalia ndani ya nguo zao kabla ya kuvaa shati au kuweka jacketi juu.Kwa ajili ya kazi ni vema kuwa na joga nyeupe ambayo hata ukivalia suti au wakati wa joto unapovaa si rahisi kupitisha joto.
Msibani : Marehemu Jenista Mhagama Alikuwa Kiongozi Jasiri, Mwaminifu na
Mlezi wa Viongozi Wengi - Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo
ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga
mwi...
20 hours ago


No comments:
Post a Comment