Zamani sngland(jogger) zilikuwa zikivaliwa na wanaume kwa ajili ya michezo.Joga ni huwa na kitambaa kinachotanuka,pia huwa nyepesi vilevile huwa hazingizi joto.Hivyo wanaume wengi hupenda kuvalia ndani ya nguo zao kabla ya kuvaa shati au kuweka jacketi juu.Kwa ajili ya kazi ni vema kuwa na joga nyeupe ambayo hata ukivalia suti au wakati wa joto unapovaa si rahisi kupitisha joto.
CRIO INTERNATIONAL BIBLE COLLEGE YATOA FURSA YA MAFUNZO YA BIBLIA KWA
WATUMISHI
-
Mkurugenzi wa CRIO International Bible College, *Dr. Willy K. Ackyoo*,
amewakaribisha watumishi wa Mungu na wananchi wote wenye nia ya kujifunza
Neno ...
2 days ago


No comments:
Post a Comment