Zamani sngland(jogger) zilikuwa zikivaliwa na wanaume kwa ajili ya michezo.Joga ni huwa na kitambaa kinachotanuka,pia huwa nyepesi vilevile huwa hazingizi joto.Hivyo wanaume wengi hupenda kuvalia ndani ya nguo zao kabla ya kuvaa shati au kuweka jacketi juu.Kwa ajili ya kazi ni vema kuwa na joga nyeupe ambayo hata ukivalia suti au wakati wa joto unapovaa si rahisi kupitisha joto.
Habari : Dkt. Biteko Ahimiza Utekelezaji wa Maazimio ya Vikao vya Kimkakati
vya Weneyviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi
-
-Awakumbusha kuhusu dhamana waliyobeba ya kubadili maisha ya watanzania
kupitia mtaji wa shilingi Trilioni 86 waliopewa
-Afunga Kikao kazi cha Tatu cha W...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment