Zamani sngland(jogger) zilikuwa zikivaliwa na wanaume kwa ajili ya michezo.Joga ni huwa na kitambaa kinachotanuka,pia huwa nyepesi vilevile huwa hazingizi joto.Hivyo wanaume wengi hupenda kuvalia ndani ya nguo zao kabla ya kuvaa shati au kuweka jacketi juu.Kwa ajili ya kazi ni vema kuwa na joga nyeupe ambayo hata ukivalia suti au wakati wa joto unapovaa si rahisi kupitisha joto.
HUDUMA ZA MATIBABU BILA MALIPO ZAANZA RASMI ARUSHA
-
Wananchi wa Jiji la Arusha na maeneo mbalimbali nchini wameanza kupatiwa
huduma za matibabu ya kibingwa bila malipo katika Kambi ya Matibabu ya
Arush...
1 day ago


No comments:
Post a Comment