Zamani sngland(jogger) zilikuwa zikivaliwa na wanaume kwa ajili ya michezo.Joga ni huwa na kitambaa kinachotanuka,pia huwa nyepesi vilevile huwa hazingizi joto.Hivyo wanaume wengi hupenda kuvalia ndani ya nguo zao kabla ya kuvaa shati au kuweka jacketi juu.Kwa ajili ya kazi ni vema kuwa na joga nyeupe ambayo hata ukivalia suti au wakati wa joto unapovaa si rahisi kupitisha joto.
Baishara : NMB yakabidhi misaada ya Mil. 21.6/- Shule za Msingi, Sekondari
Malinyi
-
Kupitia Programu ya Uwekezaji kwa Jamii, Benki ya NMB imekabidhi misaada ya
madawati 100, viti 100 na meza 100 kwa shule mbili za msingi na moja ya
sekon...
8 hours ago


No comments:
Post a Comment