Zamani sngland(jogger) zilikuwa zikivaliwa na wanaume kwa ajili ya michezo.Joga ni huwa na kitambaa kinachotanuka,pia huwa nyepesi vilevile huwa hazingizi joto.Hivyo wanaume wengi hupenda kuvalia ndani ya nguo zao kabla ya kuvaa shati au kuweka jacketi juu.Kwa ajili ya kazi ni vema kuwa na joga nyeupe ambayo hata ukivalia suti au wakati wa joto unapovaa si rahisi kupitisha joto.
ELIMU YA FEDHA YAONGEZA MATUMAINI ARUSHA: WANANCHI WAPATA MWANGA WA KIUCHUMI
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Halmashauri ya Jiji la Arusha imezindua rasmi zoezi la uhamasishaji wa
wananchi kuhusu fursa mbalimbali zilizopo ndani ya jiji h...
2 days ago


No comments:
Post a Comment