Enter your keyword

Culture for Life.

Monday, May 1, 2017

Mwanamke mwenye mahaba ya dhati hapaswi kufanyiwa haya:

  •  
    Blogger:Sinyati,Maoni ni kwamba ni vema kuwa wa wazi na wa kweli linapotokea suala la mahusiano.Hii itasaidia watu kutokuwa na malipizi kwa walio watenda.
  • Usimuumize moyo wake
  • Usijifanye unampenda ili ufanikiwe kufanya yako.
  • Mtukane vyovyote vile ila sio wazazi wake na kumwambia kuwa yeye ni mbaya.
  • Usimfananishe na wanawake zako waliopita.
  • Usimpige,ni vema kuongea naye kwa utaratibu. Usimsaliti na kuonyesha kabisa dharau ajue kuwa unamsaliti
  • Usimvunjie heshima kwa kumgombeza mbele za watu.
  • Usimpotezee muda wake kama hauna mpango wa kumuoa, unamchelewesha kupata mume bora.
  • Usimfanye ajione hapendwi na ana mkosi hapa ulimwenguni.
  • Usimradhimishe kufanya tendo la ndoa
  • Kamwe usisahau kumwambia unampenda na yeye ni mzuri hiyo haipunguzi nguvu za kiume.
  • Usimpe mimba na kumkimbia au kumwambia aitoe, kama huna nia ya kumuoa achana na hayo

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu