-

Blogger:Sinyati,Maoni ni kwamba ni vema kuwa wa wazi na wa kweli linapotokea suala la mahusiano.Hii itasaidia watu kutokuwa na malipizi kwa walio watenda. - Usimuumize moyo wake
- Usijifanye unampenda ili ufanikiwe kufanya yako.
- Mtukane vyovyote vile ila sio wazazi wake na kumwambia kuwa yeye ni mbaya.
- Usimfananishe na wanawake zako waliopita.
- Usimpige,ni vema kuongea naye kwa utaratibu. Usimsaliti na kuonyesha kabisa dharau ajue kuwa unamsaliti
- Usimvunjie heshima kwa kumgombeza mbele za watu.
- Usimpotezee muda wake kama hauna mpango wa kumuoa, unamchelewesha kupata mume bora.
- Usimfanye ajione hapendwi na ana mkosi hapa ulimwenguni.
- Usimradhimishe kufanya tendo la ndoa
- Kamwe usisahau kumwambia unampenda na yeye ni mzuri hiyo haipunguzi nguvu za kiume.
- Usimpe mimba na kumkimbia au kumwambia aitoe, kama huna nia ya kumuoa achana na hayo
Msibani : Marehemu Jenista Mhagama Alikuwa Kiongozi Jasiri, Mwaminifu na
Mlezi wa Viongozi Wengi - Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo
ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga
mwi...
20 hours ago

No comments:
Post a Comment