-

Blogger:Sinyati,Maoni ni kwamba ni vema kuwa wa wazi na wa kweli linapotokea suala la mahusiano.Hii itasaidia watu kutokuwa na malipizi kwa walio watenda. - Usimuumize moyo wake
- Usijifanye unampenda ili ufanikiwe kufanya yako.
- Mtukane vyovyote vile ila sio wazazi wake na kumwambia kuwa yeye ni mbaya.
- Usimfananishe na wanawake zako waliopita.
- Usimpige,ni vema kuongea naye kwa utaratibu. Usimsaliti na kuonyesha kabisa dharau ajue kuwa unamsaliti
- Usimvunjie heshima kwa kumgombeza mbele za watu.
- Usimpotezee muda wake kama hauna mpango wa kumuoa, unamchelewesha kupata mume bora.
- Usimfanye ajione hapendwi na ana mkosi hapa ulimwenguni.
- Usimradhimishe kufanya tendo la ndoa
- Kamwe usisahau kumwambia unampenda na yeye ni mzuri hiyo haipunguzi nguvu za kiume.
- Usimpe mimba na kumkimbia au kumwambia aitoe, kama huna nia ya kumuoa achana na hayo
TCAA NA UMOJA WA ULAYA WATHIBITISHA DHAMIRA YA KUIMARISHA USIMAMIZI WA
USALAMA WA USAFIRI WA ANGA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Dkt. Jabiri
K. Bakari, amethibitisha dhamira ya Mamlaka hiyo ya kujenga Mamlaka ya
Usafiri...
1 week ago

No comments:
Post a Comment