Double monk strap shoes ni viatu ambavyo mwanaume unapaswa kuwa navyo,Viatu hivi unaweza vaa na aina yeyote ya nguo kama mwanaume. Nitaonesha baadhi ya viatu hivi:
Viatu hivi unaweza kuvaa na suti, pensi,casual,ofisini,ni nguo inayoendana na vazi lolote la mtoto wa kijana wa kiume au mwanaume.
Msibani : Marehemu Jenista Mhagama Alikuwa Kiongozi Jasiri, Mwaminifu na
Mlezi wa Viongozi Wengi - Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo
ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga
mwi...
20 hours ago






No comments:
Post a Comment