Double monk strap shoes ni viatu ambavyo mwanaume unapaswa kuwa navyo,Viatu hivi unaweza vaa na aina yeyote ya nguo kama mwanaume. Nitaonesha baadhi ya viatu hivi:
Viatu hivi unaweza kuvaa na suti, pensi,casual,ofisini,ni nguo inayoendana na vazi lolote la mtoto wa kijana wa kiume au mwanaume.
Tumekuja kufanya mapinduzi” — Digingoto afunguka kuhusu Arusha Classic Band
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Bendi mpya ya muziki wa dansi ya Arusha Classic Band imeanza kujizolea
umaarufu ndani ya Mkoa wa Arusha na maeneo ya jirani, h...
5 days ago






No comments:
Post a Comment