Double monk strap shoes ni viatu ambavyo mwanaume unapaswa kuwa navyo,Viatu hivi unaweza vaa na aina yeyote ya nguo kama mwanaume. Nitaonesha baadhi ya viatu hivi:
Viatu hivi unaweza kuvaa na suti, pensi,casual,ofisini,ni nguo inayoendana na vazi lolote la mtoto wa kijana wa kiume au mwanaume.
Afya : QYT Yaendelea Kupanua Huduma zake Jijini Dar es Salaam
-
Kampuni ya QYT inayojihusisha na huduma za tiba mbadala pamoja na kutoa
fursa Kwa vijana, imeendelea kupanua miradi yake Kwa kufunga tawi jipya
katika...
1 day ago
No comments:
Post a Comment