Double monk strap shoes ni viatu ambavyo mwanaume unapaswa kuwa navyo,Viatu hivi unaweza vaa na aina yeyote ya nguo kama mwanaume. Nitaonesha baadhi ya viatu hivi:
Viatu hivi unaweza kuvaa na suti, pensi,casual,ofisini,ni nguo inayoendana na vazi lolote la mtoto wa kijana wa kiume au mwanaume.
ONGEZEKO LA UVUTAJI SIGARA NA SHISHA LATISHIA AFYA YA WATANZANIA
-
Na mwandishi wetu
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter
Kisenge, amesema watu milioni 20 duniani hufariki kila...
4 hours ago






No comments:
Post a Comment