Double monk strap shoes ni viatu ambavyo mwanaume unapaswa kuwa navyo,Viatu hivi unaweza vaa na aina yeyote ya nguo kama mwanaume. Nitaonesha baadhi ya viatu hivi:
Viatu hivi unaweza kuvaa na suti, pensi,casual,ofisini,ni nguo inayoendana na vazi lolote la mtoto wa kijana wa kiume au mwanaume.
Riadha : NMB Yamkabidhi Mwanariadha Alphonce Simbu Sh Milioni 10 Maandalizi
ya Sydney Marathon Agosti 30
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Benki ya NMB imekabidhi udhamini wa Sh10 milioni kwa mwanariadha wa
Tanzania, Alphonce Simbu, ili kumsaidia katika maandalizi...
6 days ago






No comments:
Post a Comment