Double monk strap shoes ni viatu ambavyo mwanaume unapaswa kuwa navyo,Viatu hivi unaweza vaa na aina yeyote ya nguo kama mwanaume. Nitaonesha baadhi ya viatu hivi:
Viatu hivi unaweza kuvaa na suti, pensi,casual,ofisini,ni nguo inayoendana na vazi lolote la mtoto wa kijana wa kiume au mwanaume.
MEYA ATOA ONYO KALI WAKATI WA UZINDUZI WA KAMPENI YA “NG’ARISHA JIJI”
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa onyo kali kwa
watendaji wa jiji, maafisa afya, wazabuni wa taka...
1 day ago






No comments:
Post a Comment