Double monk strap shoes ni viatu ambavyo mwanaume unapaswa kuwa navyo,Viatu hivi unaweza vaa na aina yeyote ya nguo kama mwanaume. Nitaonesha baadhi ya viatu hivi:
Viatu hivi unaweza kuvaa na suti, pensi,casual,ofisini,ni nguo inayoendana na vazi lolote la mtoto wa kijana wa kiume au mwanaume.
TCAA YATOA MKONO WA PASAKA KITUO CHA KULELEA WATOTO CHA ZILI
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imekabidhi mahitaji kwa kituo
cha kulea watoto cha ZILI kilichopo Kipawa Jijini Dar es Salaam ikiwa ni
sehe...
3 days ago
No comments:
Post a Comment