Enter your keyword

Culture for Life.

Sunday, April 16, 2017

vitu 10 vya kufanya katika mahusiano yako.


Ni kweli kuwa kuna wakati kama mwanadamu tunachoka hata katika shughuli za kawaida huwa zinamchosha mtu hata chakula ukila kila siku chenye ladha moja unachoka vivyo hivyo katika mahusiano kama hamna ubunifu baina ya wenza hawa lazima ufikia hatua ya kuchokana na kupelekea wenza kuaachana,Leo mpenzi msomaji wa safu hii  nitakupa dondoo chache ambazo zitakusaidia kujenga mahusiano yako.

1.Hakikisha mnatazama au kusikiliza mziki kwa pamoja.

 

 

Mnaweza kutumia Tv kuangalia vipindi mnavyopenda wote au kusikiliza mziki mkiwa pamoja hii itaongeza chachu ya mapenzi vilevile kwa wale wapenzi wa filamu mnapotazama kwa pamoja hasa love story mtajifunza vitu vingi nakuona udhaifu wa kila mmoja na kujirekebisha.

 2.Pangeni mambo yenu pamoja,

Mnaweza kupanga vitu kwajili ya maisha yenu ikiambatana na maendeleo yenu,au kutoka out,trip,dinner na vitu kibao ambavyo mnaweza kuplani pamoja.Hii italeta chachu ya mapenzi zaidi kati yenu.

 3.Pangeni kupumzika katika hoteli iliyo n'je na mji wenu.

Msanii wa muziki Diamond na mke wake Zari.

 4.kufanya mazoezi pamoja.

 5.Hakikisha mambo uliyokuwa ukimfanyia kipindi cha uchumba huachi kuyafanya kwani ndiyo yalimvutia zaidi,unapoyaacha yanapunguza mapenzi.

 

6.Kuwa mbunifu kila siku mfanyie jambo jipya mwenzi wako.

 

7.Mambo yalimvutia mpenzi wako ulipo yafanya usiache kufanya penda kuyarudia zaidi ili kumfurahisha zaidi.

 

8.Mnunulie zawadi mwenzi wako.

9.Katika suala la mapenzi ondoa aibu na mpe kile mwenzi wako anapenda ila zingatia afya yako

.

10.Ogopa kuwashirikisha watu wa n'je madhaifu ya mwenzi wako zaidi zungumza na mwenzio,tafuta njia nzuri ya kuweza kuongea naye.

 

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu