Mama Tiffa maarufu kwa jina La Zarithebosslady,ameamua kumwacha mpenzi wake alimaarufu msanii Diamond,Zari ameandika katika ukurasa wake wa Instagram kuwa"kavumilia mengi na sasa imefika mwisho,nitaendeleza urafiki na Diamond kama baba wa watoto wangu lakini sio mahusiano ya kimapenzi"
Zari anasema amekuwa katika tasnia ya Sana'a miaka 12 na kuwa mfano wa kuigwa.Hivyo hatoaacha kuendelea kuwahamasisha wanawake kuwa maboss ktk shughuli zao.
Pia kasema atawakuza wanawe katika maadili ya kuwaheshimu wanawake hasa watoto wake wa kiume.
Zari Leo kapost UA jeusi lenye maana mbaya ni ya majonzi/msiba na Leo ni wakati wa UA jekundu.
Maelezo ya Zari......katika lugha ya kingereza
Riadha : NMB Yamkabidhi Mwanariadha Alphonce Simbu Sh Milioni 10 Maandalizi
ya Sydney Marathon Agosti 30
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Benki ya NMB imekabidhi udhamini wa Sh10 milioni kwa mwanariadha wa
Tanzania, Alphonce Simbu, ili kumsaidia katika maandalizi...
6 days ago




No comments:
Post a Comment