Mama Tiffa maarufu kwa jina La Zarithebosslady,ameamua kumwacha mpenzi wake alimaarufu msanii Diamond,Zari ameandika katika ukurasa wake wa Instagram kuwa"kavumilia mengi na sasa imefika mwisho,nitaendeleza urafiki na Diamond kama baba wa watoto wangu lakini sio mahusiano ya kimapenzi"
Zari anasema amekuwa katika tasnia ya Sana'a miaka 12 na kuwa mfano wa kuigwa.Hivyo hatoaacha kuendelea kuwahamasisha wanawake kuwa maboss ktk shughuli zao.
Pia kasema atawakuza wanawe katika maadili ya kuwaheshimu wanawake hasa watoto wake wa kiume.
Zari Leo kapost UA jeusi lenye maana mbaya ni ya majonzi/msiba na Leo ni wakati wa UA jekundu.
Maelezo ya Zari......katika lugha ya kingereza
WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE ZASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA KILIMO
DODOMA
-
Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake zinashiriki Katika Maonesho
ya Kimataifa ya Kilimo ambayo yameanza Tarehe 1 Agosti Katika Viwanja
Nzug...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment