Kitenge ni vazi ambalo halichuji,wabunifu wamekuwa wengi na kila siku inaibuka mitindo mipya ambayo MTU anaweza kupata vazi La mandhari yoyote.
kitenge huweza kuvaliwaa mandhari yoyote.Kitu unachopaswa kukifikiria kabla ni mandhari(location) unayotaka kuvaa vazi hilo ili ubuni kulingana na muktadha
Tumekuja kufanya mapinduzi” — Digingoto afunguka kuhusu Arusha Classic Band
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Bendi mpya ya muziki wa dansi ya Arusha Classic Band imeanza kujizolea
umaarufu ndani ya Mkoa wa Arusha na maeneo ya jirani, h...
5 days ago






No comments:
Post a Comment