Kitenge ni vazi ambalo halichuji,wabunifu wamekuwa wengi na kila siku inaibuka mitindo mipya ambayo MTU anaweza kupata vazi La mandhari yoyote.
kitenge huweza kuvaliwaa mandhari yoyote.Kitu unachopaswa kukifikiria kabla ni mandhari(location) unayotaka kuvaa vazi hilo ili ubuni kulingana na muktadha
CRIO INTERNATIONAL BIBLE COLLEGE YATOA FURSA YA MAFUNZO YA BIBLIA KWA
WATUMISHI
-
Mkurugenzi wa CRIO International Bible College, *Dr. Willy K. Ackyoo*,
amewakaribisha watumishi wa Mungu na wananchi wote wenye nia ya kujifunza
Neno ...
1 day ago






No comments:
Post a Comment