Kitenge ni vazi ambalo halichuji,wabunifu wamekuwa wengi na kila siku inaibuka mitindo mipya ambayo MTU anaweza kupata vazi La mandhari yoyote.
kitenge huweza kuvaliwaa mandhari yoyote.Kitu unachopaswa kukifikiria kabla ni mandhari(location) unayotaka kuvaa vazi hilo ili ubuni kulingana na muktadha
SERIKALI KUTOA MAFUNZO MAALUM KWA MABLOGA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam — Serikali imetangaza mpango wa kutoa
mafunzo maalum kwa waandishi wa blogu nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi
ya ...
1 day ago
No comments:
Post a Comment