Kitenge ni vazi ambalo halichuji,wabunifu wamekuwa wengi na kila siku inaibuka mitindo mipya ambayo MTU anaweza kupata vazi La mandhari yoyote.
kitenge huweza kuvaliwaa mandhari yoyote.Kitu unachopaswa kukifikiria kabla ni mandhari(location) unayotaka kuvaa vazi hilo ili ubuni kulingana na muktadha
Riadha : NMB Yamkabidhi Mwanariadha Alphonce Simbu Sh Milioni 10 Maandalizi
ya Sydney Marathon Agosti 30
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Benki ya NMB imekabidhi udhamini wa Sh10 milioni kwa mwanariadha wa
Tanzania, Alphonce Simbu, ili kumsaidia katika maandalizi...
6 days ago






No comments:
Post a Comment