Kitenge ni vazi ambalo halichuji,wabunifu wamekuwa wengi na kila siku inaibuka mitindo mipya ambayo MTU anaweza kupata vazi La mandhari yoyote.
kitenge huweza kuvaliwaa mandhari yoyote.Kitu unachopaswa kukifikiria kabla ni mandhari(location) unayotaka kuvaa vazi hilo ili ubuni kulingana na muktadha
TASAC YATOA ELIMU YA USALAMA KWA WAMILIKI WA MABOTI MATEMA
-
Mfawidhi wa TASAC Wilayani Kyela Naho. David Chiragi akiongea
katika kikao cha uhamasishaji kilichofanyika ufukweni mwa ziwa hilo
Shirika la Uwakala wa ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment