Kitenge ni vazi ambalo halichuji,wabunifu wamekuwa wengi na kila siku inaibuka mitindo mipya ambayo MTU anaweza kupata vazi La mandhari yoyote.
kitenge huweza kuvaliwaa mandhari yoyote.Kitu unachopaswa kukifikiria kabla ni mandhari(location) unayotaka kuvaa vazi hilo ili ubuni kulingana na muktadha
ELIMU YA WATU WAZIMA YAZIDI KUPAA ARUSHA
-
Mgeni Rasmi katika hafla ya maadhimisho ya wiki ya Elimu ya Watu Wazima
Wilaya ya Arusha,Bi. Chausiku Baha akivalishwa skafu na mmoja wa Wanafunzi
waliop...
2 days ago
No comments:
Post a Comment