Kitenge ni vazi ambalo halichuji,wabunifu wamekuwa wengi na kila siku inaibuka mitindo mipya ambayo MTU anaweza kupata vazi La mandhari yoyote.
kitenge huweza kuvaliwaa mandhari yoyote.Kitu unachopaswa kukifikiria kabla ni mandhari(location) unayotaka kuvaa vazi hilo ili ubuni kulingana na muktadha
ELIMU YA FEDHA YAONGEZA MATUMAINI ARUSHA: WANANCHI WAPATA MWANGA WA KIUCHUMI
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Halmashauri ya Jiji la Arusha imezindua rasmi zoezi la uhamasishaji wa
wananchi kuhusu fursa mbalimbali zilizopo ndani ya jiji h...
2 days ago






No comments:
Post a Comment