Kumekuwa na mkanganyiko sana kuhusu rangi ya mwaka,Wengine wamekuwa wakidai bluu ndiyo rangi ya mwaka kutokana na kwamba mwaka Jana ilivaliwa mno hasa na maharusi.
Naomba nikutoe kimasomaso rangi iliyotangazwa na Pantone ambayo ninkampuni inayotekeleza jukumu hilo baada ya kufanya utafiti katika mitindo mbali mbali hutoa rangi ya mwaka.
Rangi ya dhambarau IPO katika muonekano tofauti .nitatupia picha chache za mavazi ya rangi ya purple( zambarau)
Mchengerwa Avunja Mabaraza ya Madiwani, Atangaza Wabaki na Vitendea Kazi
-
Na Woinde Shizza, Arusha
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, ametangaza rasmi kuvunjwa...
19 hours ago
No comments:
Post a Comment