Kumekuwa na mkanganyiko sana kuhusu rangi ya mwaka,Wengine wamekuwa wakidai bluu ndiyo rangi ya mwaka kutokana na kwamba mwaka Jana ilivaliwa mno hasa na maharusi.
Naomba nikutoe kimasomaso rangi iliyotangazwa na Pantone ambayo ninkampuni inayotekeleza jukumu hilo baada ya kufanya utafiti katika mitindo mbali mbali hutoa rangi ya mwaka.
Rangi ya dhambarau IPO katika muonekano tofauti .nitatupia picha chache za mavazi ya rangi ya purple( zambarau)
TCAA YATOA MKONO WA PASAKA KITUO CHA KULELEA WATOTO CHA ZILI
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imekabidhi mahitaji kwa kituo
cha kulea watoto cha ZILI kilichopo Kipawa Jijini Dar es Salaam ikiwa ni
sehe...
4 days ago
No comments:
Post a Comment