Kumekuwa na mkanganyiko sana kuhusu rangi ya mwaka,Wengine wamekuwa wakidai bluu ndiyo rangi ya mwaka kutokana na kwamba mwaka Jana ilivaliwa mno hasa na maharusi.
Naomba nikutoe kimasomaso rangi iliyotangazwa na Pantone ambayo ninkampuni inayotekeleza jukumu hilo baada ya kufanya utafiti katika mitindo mbali mbali hutoa rangi ya mwaka.
Rangi ya dhambarau IPO katika muonekano tofauti .nitatupia picha chache za mavazi ya rangi ya purple( zambarau)
Biashara : Taasisi za Kifedha za Ndani Zinafaa Kuimarisha Ushirikiano na
Serikali katika Miradi ya Maendeleo - Rais Dkt. Mwinyi
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt.
Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza kuwa bado kuna fursa nyingi kwa taasisi za
kifedha...
1 week ago







No comments:
Post a Comment