Ushawahi kujiuliza haya maswali,kuwa ni rangi gani utavaa wakati kuagwa nyumbani kwenu,Ushawahi jiuliza unataka kuwa na muonekano gani siku ya sendoff yako,Je?Mume wangu mtarajiwa atavaa nini? ni kweli ni lazima tufanane kimavazi hata rangi tu ya nguo ina ulazima gani?,Wageni waalikwa watavaaje katika siku yangu.
Binti unayeagwa ni vema basi kuwa angala na mavazi ya kanisani, wakati wa kupiga picha,nyumbani, na vazi la kuvaa ukumbini kama una uwezo wa kufanya hivyo lakini kama huna mavazi mawili tu yanakutosha.
Vazi la kanisani ndilo utakalokwenda nalo kupiga picha kisha ukimaliza utaenda kuagwa nyumbani na familia yako.Kisha ukumbini unatafuta vazi zuri litakalo kufaa.
Kumbuka kuwa ugumu wa maisha au ukubwa na udogo wa mambo uko juu yako kulingana na kipato chako.
Baadhi ya picha zilizo nivutia katika muonekano wa vazi la Sendoff:
Kwa maelezo zaidi tafuta ukurasa wa mwanamitindo
https://www.instagram.com/p/Bj7AW6FB4pa/?hl=en&taken-by=ceolumineeofficial
WATAALAM WA SHERIA ZA USAFIRI WA ANGA DUNIANI WAKUTANA DAR ES SALAAM
-
*Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza Johari akizungumza wakati wa
hotuba yake ya ufunguzi wa Warsha juu ya Mikataba ya Sheria za Anga ya
mwaka 2026 i...
17 hours ago





No comments:
Post a Comment