Enter your keyword

Culture for Life.

Thursday, December 15, 2016

Vazi la kitenge litumike katika Sherehe zote za kitaifa."Maoni Ya Neema Daniel"

By On December 15, 2016



Neema Daniel ni mjasiriamali anayejishughulisha na ubunifu wa vitu vya asili kwa kutumia vitenge.Anabuni viatu na mikoba ya vitenge.


Kitengeflat shoes

Mahojiano ya Neema na Sinyatiblog yaliyofanyika  kwa njia ya Whatsapp na Facebook messenger.

 

 Sinyatiblog:Neema unajishughulisha na nini ili kupambana na maisha.

Sinyatiblog:Nauza vitenge,nashona nguo za vitenge ,natengeneza viatu na handbag za vitenge.

Neema:Wateja wangu wengi ni wafanyakazi wa maofisini na kwenye mitandao.
Sinyatiblog:Nini kinafanya kazi zako zionekane ni za tofauti na kazi za wengine?
Neema:Utofauti wangu ni kwamba watu wamezoea kubeba handbag za ngozi,mimi nimeibadilisha kidogo kwa kuivalisha kitenge na kiatu pia, sasa imekuwa tofauti na inavutia wengi.





Sinyatiblog:Unatumia material gani hasa katika kutengeneza hizo handbag na viatu.
Neema: Huwa nanunua handbag au viatu alafu naivalisha kitenge.
Makenzi flat shoes na Mkoba.Unaweza kuvaa na nguo ya rangi moja pamoja na kujipamba kwa nakshi kama bangili mkufu na hereni.

Sinyatiblog:unaishauri nini jamii kuhusiana na kupenda vitu vya asili hasa vya ndani ya nchi.
Neema:Nashauri jamii wapende vitu  vya asili maana ndiyo asili yetu kwa afrika

Sinyatiblog:Neno  moja kwa jamii unaloweza kuwashauri.
Neema:Okay tupende kuwa wabunifu wa vitu mbalimbali ili isaidie kuongeza kipato.
Sinyatiblog:kama ungepata fursa ya kushauri serikali  kuhusu vazi la  taifa ungesemaje?
Neema:Ningependeza sana kila sherehe za kitaifa kuwe na sare za vitenge kama vazi letu la kitaifa.

Hii ni raba ya kawaida lakini imevalishiwa kitenge na kibao kwaajili ya mtoto.


Mawasiliano ya Neema Daniel.
Napatikana insta:Ulimwengu_wa_vitenge.
No.0713655363
DSM-Kigamboni

Mitindo ya kiafrika Katika Maisha Halisi."Jocktan Makeke"

By On December 15, 2016


  Jocktan Makeke anasema"Vijana wafuate kauli hii, YOUR CULTURE.. YOUR IDENTITY"

Jocktan Makeke

 Africa and Africans has succeeded in destroying our culture and traditional by accepting the effect of colonialism on the strong foundation that once held our fathers together...I believe that there is a supreme being and that as long as you believe in him no matter your religious difference or mode of worship things will work out for you, I PRAY GOD HELP AFRICA IN BELIEVING IN THEMSELVES ONE DAY.



 

 Mahojiano kati ya Sinyatiblog na Mbunifu wa Mtindo yenye Asili ya kiafrika ,Jocktan Makeke. 

Tareh 13/12/2016.kupitia facebookmessenger.


Sinyati blog:Je kuna msanii au kiongozi yeyote unayemvalisha kazi zako

Makeke: Hakuna msanii ninayemvalisha isipokuwa wanatumia tu kwenye project zao.Mfano  Mrisho mpoto, pamoja na dullysykes kwenye video Mpya ijayo watatumia mavazi yangu.

Msanii Mrisho Mpoto kulia,kushoto ni Model wa kiume kutoka Makeke

Sinyatiblog:Jamii imepokeaje kazi zako.
Makeke: Kwa sasa jamii ina elewa na kukubali Kazi zangu  kwani nina chozungumza na kukionesha ndiyo Maisha  yao halisi.

Sinyatiblog:unaishauri nini serikali kuhusiana na vazi la taifa.Kwani hata Tanzania ipo gizani katika vazi la Taifa.
Makeke:Giza ni utamaduni wa kisasa au wa kimagharibi ambao kwa sasa umetawala sana afrika na dunia kwa ujumla , kwahiyo tunasema kwamba licha ya kuwepo kwa giza nene lakini bado utamaduni wa mwafrika una nguvu na unastahili kuigwa , Mitindo hii inaelezea MAISHA ya muafrika kabla ya ukoloni na lengo kubwa ni kukumbushana au kuwakumbusa vijana wa sasa kule  tulikotokea. Huwezi kupata kitu kimoja wakati Hakuna umoja , kupata vazi la Taifa ,lazima wabunifu tuwe wamoja ndiyo tupate idea moja



Model : Agnes Nyahoga

Art: Makeke

Sinyatiblog:Neno moja kwa vijana wenzako pia kwa wale  watu wasiopenda mavazi ya asili una waambiaje? 

Models : lewis & Agnes's
Photo : @francis_art_photography
Art : Makeke
Album: TABID

 Makeke: Vijana wafuate kauli hii, YOUR CULTURE.. YOUR IDENTITY huo ndiyo ushauri wangu.

Sinyatiblog:Kuna kitu gani cha tofauti katika mavazi yako ambacho wabunifu wengine hawana.
Makeke:Kuna utofauti mkubwa sana wa Kazi zangu na Kazi za wengine, kwasababu  naamin kupitia creative + artistic minds, pia wengi wanafanya style za kimagharibi BT mimi naangalia maisha  halisi ya mwafrika kabla ya ukoloni.
Sinyatiblog:ASANTE  KWA USHIRIKIANO.

 JOCKTAN MAKEKE NI NANI? KATIKA TASNIA YA MITINDO.



JOCKTAN MAKEKE is the superhot uprising  fashion artist from Tanzania based on pure African design.
In doing his design Jocktan has inspired by the visibility of nature and behavior of different fauna and laura, also  he is using animal a skins , bones , pants and waste materials such as water bottles, iron steel and plastics in making design, sometimes he is using African local materials such as Khanga , Kitenge and batik.


Fashion Awards

This year JOCKTAN MAKEKE nominated in four (4) different fashion awards, such as:

 Abraynz Style and Fashion Awards - ASFA  as the best designer of the year ( east Africa),


 East Africa gospel and fashion awards as the best East African fashion brand.

 


 Swahili Fashion week awards , as the Jumia market innovative designer of the year 

 Instagram awards as the best designer of the year.

 

 Jocktan Makeke

+255752254221 jocktanwamakeke@gmail.com IG: @makeke_international @jocktanmakeke_official


3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu