Enter your keyword

Culture for Life.

Thursday, December 15, 2016

Mitindo ya kiafrika Katika Maisha Halisi."Jocktan Makeke"



  Jocktan Makeke anasema"Vijana wafuate kauli hii, YOUR CULTURE.. YOUR IDENTITY"

Jocktan Makeke

 Africa and Africans has succeeded in destroying our culture and traditional by accepting the effect of colonialism on the strong foundation that once held our fathers together...I believe that there is a supreme being and that as long as you believe in him no matter your religious difference or mode of worship things will work out for you, I PRAY GOD HELP AFRICA IN BELIEVING IN THEMSELVES ONE DAY.



 

 Mahojiano kati ya Sinyatiblog na Mbunifu wa Mtindo yenye Asili ya kiafrika ,Jocktan Makeke. 

Tareh 13/12/2016.kupitia facebookmessenger.


Sinyati blog:Je kuna msanii au kiongozi yeyote unayemvalisha kazi zako

Makeke: Hakuna msanii ninayemvalisha isipokuwa wanatumia tu kwenye project zao.Mfano  Mrisho mpoto, pamoja na dullysykes kwenye video Mpya ijayo watatumia mavazi yangu.

Msanii Mrisho Mpoto kulia,kushoto ni Model wa kiume kutoka Makeke

Sinyatiblog:Jamii imepokeaje kazi zako.
Makeke: Kwa sasa jamii ina elewa na kukubali Kazi zangu  kwani nina chozungumza na kukionesha ndiyo Maisha  yao halisi.

Sinyatiblog:unaishauri nini serikali kuhusiana na vazi la taifa.Kwani hata Tanzania ipo gizani katika vazi la Taifa.
Makeke:Giza ni utamaduni wa kisasa au wa kimagharibi ambao kwa sasa umetawala sana afrika na dunia kwa ujumla , kwahiyo tunasema kwamba licha ya kuwepo kwa giza nene lakini bado utamaduni wa mwafrika una nguvu na unastahili kuigwa , Mitindo hii inaelezea MAISHA ya muafrika kabla ya ukoloni na lengo kubwa ni kukumbushana au kuwakumbusa vijana wa sasa kule  tulikotokea. Huwezi kupata kitu kimoja wakati Hakuna umoja , kupata vazi la Taifa ,lazima wabunifu tuwe wamoja ndiyo tupate idea moja



Model : Agnes Nyahoga

Art: Makeke

Sinyatiblog:Neno moja kwa vijana wenzako pia kwa wale  watu wasiopenda mavazi ya asili una waambiaje? 

Models : lewis & Agnes's
Photo : @francis_art_photography
Art : Makeke
Album: TABID

 Makeke: Vijana wafuate kauli hii, YOUR CULTURE.. YOUR IDENTITY huo ndiyo ushauri wangu.

Sinyatiblog:Kuna kitu gani cha tofauti katika mavazi yako ambacho wabunifu wengine hawana.
Makeke:Kuna utofauti mkubwa sana wa Kazi zangu na Kazi za wengine, kwasababu  naamin kupitia creative + artistic minds, pia wengi wanafanya style za kimagharibi BT mimi naangalia maisha  halisi ya mwafrika kabla ya ukoloni.
Sinyatiblog:ASANTE  KWA USHIRIKIANO.

 JOCKTAN MAKEKE NI NANI? KATIKA TASNIA YA MITINDO.



JOCKTAN MAKEKE is the superhot uprising  fashion artist from Tanzania based on pure African design.
In doing his design Jocktan has inspired by the visibility of nature and behavior of different fauna and laura, also  he is using animal a skins , bones , pants and waste materials such as water bottles, iron steel and plastics in making design, sometimes he is using African local materials such as Khanga , Kitenge and batik.


Fashion Awards

This year JOCKTAN MAKEKE nominated in four (4) different fashion awards, such as:

 Abraynz Style and Fashion Awards - ASFA  as the best designer of the year ( east Africa),


 East Africa gospel and fashion awards as the best East African fashion brand.

 


 Swahili Fashion week awards , as the Jumia market innovative designer of the year 

 Instagram awards as the best designer of the year.

 

 Jocktan Makeke

+255752254221 jocktanwamakeke@gmail.com IG: @makeke_international @jocktanmakeke_official


No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu