Suti yenye kifungo kimoja,mtindo wa suruali kama unavyouona haijafika mwenye ankle.
Muonekano huu pia ni mzuri.kwa MTU ambaye hana tumbo kubwa.
Muonekano huu umekuwa ukiwa vutia wadada wengi .ni vema pia unapoushona hakikisha unamguu wa kuvalia isije onekana suti kama imetundikwa.
CRIO INTERNATIONAL BIBLE COLLEGE YATOA FURSA YA MAFUNZO YA BIBLIA KWA
WATUMISHI
-
Mkurugenzi wa CRIO International Bible College, *Dr. Willy K. Ackyoo*,
amewakaribisha watumishi wa Mungu na wananchi wote wenye nia ya kujifunza
Neno ...
2 days ago







This is real nice ever...I love African's beauty
ReplyDeletethank you
Delete