Suti yenye kifungo kimoja,mtindo wa suruali kama unavyouona haijafika mwenye ankle.
Muonekano huu pia ni mzuri.kwa MTU ambaye hana tumbo kubwa.
Muonekano huu umekuwa ukiwa vutia wadada wengi .ni vema pia unapoushona hakikisha unamguu wa kuvalia isije onekana suti kama imetundikwa.
ONGEZEKO LA UVUTAJI SIGARA NA SHISHA LATISHIA AFYA YA WATANZANIA
-
Na mwandishi wetu
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter
Kisenge, amesema watu milioni 20 duniani hufariki kila...
4 hours ago







This is real nice ever...I love African's beauty
ReplyDeletethank you
Delete