Enter your keyword

Culture for Life.

Monday, March 18, 2013

Saturday, March 16, 2013

Sheria za uvaaji wa suti na Tai

By On March 16, 2013


Ni wazi kuwa  wengi tunalitambua vazi hili na miongoni mwetu tunapendelea kulivaa vazi hili. Suti huvaliwa na jinsia zote mbili yaani wanawake na mwanaume, isipokuwa mwanaume hawezi kuvaa suti ya sketi kama ilivyo kwa  wanawake,ambao wana uwanja mpana katika uchaguzi wa Suti. Vazi hili huvaliwa sana maofisini katika Taasisi binafsi na za serikali,kwenye harusi,sherehe,mikutano, na mazingira tofauti ambayo ni rasmi.Leo mpenzi msomaji wa safu hii Naomba tukumbushane baadhi ya kanuni za vazi hili la suti ambazo zitakupa hadhi ndani ya vazi la suti kama ifuatavyo:

1.      Epuka kuchomekea koti
2.      Epuka kutembea peku
3.      Usipende kuongea kwa sauti au kupiga kelele wakati unazungumza
4.      Acha kula magengeni.
5.      Usipende kupanda Daladala,kuendesha pikipiki au baskeli ukiwa umevaa suti
6.      Usivae kandambili au kubeba mfuko wa plastiki(Lambo)
7.      Usivae soksi zilizo chanika na suti
8.      Usijisaidie uchochoroni (kuchimba dawa) uwapo safarini.
9.      Epuka kupenga kamasi barabarani au kutema mate hovyo
10.  Acha kuchekacheka hovyo
11.  Epuka kutafuna hovyo barabarani
12.  Usitembee  na pesa za sarafu mfukoni
13.  Marufuku kupiga mruzi
14.  Marufuku kutokwa na jasho hovyo,tembea na leso
15.  Usipende kukimbia ukiwa ndani ya vazi la suti
16.  Marufuku kuwa mbishi au kusababisha mjadala usio na maana
17.  Usinywe  pombe za kienyeji wala kukaa sehemu zenye vilabu vya pombe za kienyeji


Masai skafu

By On March 16, 2013

VINAUZWA KWA BEI POA SH,15000/= FOR ONE PIECE ,SEND YOUR email,abnerytupokigwe@gmail.com


Masai Hand Craft,Masai Vikoi,



Masai Scarf

SH.10000/=

Masai Scarf





SH.5000/=

Masai kikoi



Nimetokelezea kwa SH.5000/=unaweza kuvalia casual dress


MY CONTANT   0756377940,USE Tanzania Code,IF YOUR AWAY FROM TANZANIA or ARUSHA PLEASE CONTACT US AND WE WILL ORGANIZE HOW TO DELIVER. EMAIL.abnerytupokigwe@gmail.com,Location;Arusha(Mianzini near Pride Block)



Saturday, March 9, 2013

MCHAWI AFUMANIA AKIZUNGUKA NYUMBA YA MTU UCHI ARUSHA

By On March 09, 2013
ILIKUWA SAA KUMI NA MBILI ASUBUHI,SIKU ZA MWIZI NI AROBAINI




ENEO LA UNGALIMITED ARUSHA,

Thursday, March 7, 2013

mwanamke apelekwa stand na mume wake kuogeshwa

By On March 07, 2013

mume mwenye tshet yellow muogeshaji mwenye printed tshirt

mtu na mumewe wakielekea stand bila kujua mwanmke anaenda kuogeshwa


watu wakishuhudia, stand kubwa arusha

Wednesday, March 6, 2013

Pillow ni rafiki yangu wa kweli zaidi ya rafiki

By On March 06, 2013

  SAUSAGE PILLOW,hutumika kitandani, kwenye sofa au kochi kama ukipenda,ukihitaji utaupata kwa sh.15,000/= bila foronya(cover),piga namba 0718734150au 0756377940

SAUSAGE PILLOW,UKIWA NA FORONYA SH.20000/=



 SOFA PILLOW OR DOWN PILLOW  ONLY FOR ,50000/= WITH COVER AND 25000/= WITHOUT COVER

 SOFA PILLOW OR BED PILLOW ONLY FOR 10000/= WITHOUT COVER AND 16000/= WITH COVER.

DOWN PILLOW FOR 20000/= WITH COVER AND 10000/= WITHOUT COVER.

CONTACT:0756377940,0718734150

Saturday, March 2, 2013

WATOTO WA MITAANI WAOGESHWA KWA LAZIMA JIJINI ARUSHA

By On March 02, 2013







Kundi jipya la vijana lililoanzishwa hapa jijini likiwakusanya vijana wa mtaani na kuwaogesha kwa lazima pamoja na kuwabadilisha mavazi.(eneo la mianzini mataa)

Friday, March 1, 2013

Dining Room Decorating Ideas

By On March 01, 2013

Uchaguzi mbaya wa vyombo vya ndani. 

Mojawapo la kosa kubwa ambalo watu hufanya ni uchaguzi mbaya wa vitu kama sofa,viti au kabati sina maana kwamba urefu ufanane,kinachotakiwa hapa ni kuangalia uwiano ulipo baina ya viti na sofa kuwe kuna mfanano kiasi sio kwamba kiti kifanane urefu na sofa ,zingatia mtindo,rangi,pia kabla ujanunua sofa zako angalia  kwanza ukubwa wa sebule yako,kwasababu unaweza kununua sofa kubwa na ukaziweka nyumbani kwako na kufanya sebule yako kuwa ndogo na kupelekea usumbufu wakati  wa kupita, jua kuwa sheria ya sebule inatakiwa kupangilia vitu vyako ili usimsumbue mtu wakati wa kupita.Hivyo basi sebule inatakiwa iwe na uwazi mkubwa.


 Uwekaji wa vitu  vyote unavyovipenda sebuleni.

Kuna vitu ambavyo huwa tunakosea katika upangaji wa vitu tulivyonavyo katika nyumba zetu,leo katika safu hii mpenzi msomaji nataka utambue kitu na uweze kujirekebisha pale ambapo nitakuwa nimekugusa.Njia zifuatazo zitakuongoza na kukupa mwanga namna ambavyo unapaswa kupanga chumba chako, kutokana na makosa nitakayo yataja hapa chini..

Jaribu kuweka vitu vichache ambavyo ni vya muhimu kuwepo sebuleni,ili uweze kuepuka mpangilio mbaya wa vitu ambavyo huna matumizi navyo katika eneo hilo,Ni wazi kuwa huwezi kuweka flemu( photo flame)zote za picha unazo zipenda ukutani,maua au vitambaa katika sebule yako,ikiwa una nyumba kubwa jitahidi kupangilia nyumba yako na kila eneo ifanye kazi yake.

Living Room Decorating ideas

By On March 01, 2013
  Kapeti au  Zuria.Watu udhani kuwa ni lazima kuweka zuria Sebule nzima,Tumia mazuria madogo sebuleni upande wa meza ya chakula weka zuria  chini ya meza ya chakula na  sehemu ya Faragha(sitting room) weka zuria katikati ya sofa zako.Pia katika kuchagua zuria mpenzi msomaji jitahidi kutambua mazingira ya nyumbani kwako kama una watoto ni vema ukachagua zuria ambalo sio jeupe hakikisha lina rangi ambazo zitakusaidia kuonyesha usafi.Siyo vibaya ukioanisha zuria na rangi moja wapo ya sofa ,ukuta na mito.Epuka utumiaji wa zuria lenye michoro mingi kama sofa zako  zina michoro au rangi nyingi.Kama sofa zako zina rangi moja tumia zuria la aina hiyo.





 

 Kutokuzingatia hali ya hewaMpenzi msomaji wa safu hii kumbuka pia hali hewa ndani kuwa joto sana ni kutokana na msongamano wa vitu vingi sehemu moja,ikiwa ni kipindi cha joto jitahidi sebule yako iwe na nafasi ya kutosha.Epuka kuweka vitu vingi sebuleni,ukiweka vitu vichache itakusaidia pia wakati wa kufanya usafi wa nyumba yako.Msongamano wa vitu vingi hupelekea pia  hali ya hewa kuwa nzito sebuleni.

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu