Enter your keyword

Sinyati Blog

Culture for Life.

Tuesday, September 22, 2020

FASIHI ANDISHI-KWA KIDATO CHA TATU NA NNE.

By On September 22, 2020
Mwalimu wa Kiswahili1.Fasihi hubeba yote anayoibusha binadamu katika maisha yake ya kila siku.Jadili kauli hii kwa mifano- Maudhui (Dhamira)2.Fasihi hubeba yote anayoibusha binadamu katika maisha yake ya kila siku.Jadili kauli hii kwa mifano- Maudhui (Dhamira)3.Jadili vipengele viwili vya fani na vitatu vya maudhui vilivyojadiliwa katika riwaya uliyosoma.(Fani na maudhui)4.Ujumbe wa Tamthiliya ya...

Saturday, August 8, 2020

Chupa ya Wine Inapokuwa Pambo la Nyumba yako.

By On August 08, 2020
 Add captionChupa hii nimeitengeneza mwenye kwa kutumia spray print kama utapenda usisite kunitafuta kwa email yangu au namba 0756377940Mpenzi msomaji wa makala hii  ni wazi kuwa uko poa mbali na janga hili la Corona wewe unaendelea vema.Leo napenda nikushirikishe jambo moja namna ya kubadili taka kuwa pambo.Kwanini nasema taka,kwasababu wengi wetu hutupa chupa za wine ,shampeni na chupa...

Wednesday, December 4, 2019

Dhima za viambishi.

By On December 04, 2019
...

Wednesday, April 10, 2019

Umuhimu wa wazo katika Ubunifu . .#Afriposhdesign #Tanzania culture

By On April 10, 2019
Wasifu Binafsi Jina -Glory JamesPrimary-Nkoanrua P.SchoolSecondary-Nkoanrua S.SchoolUniverisity-SUA Wazo lako ndiyo utajiri wa maisha yako,Mtu mwingine hawezi kujua mawazo yako zaidi ya wewe mwenyewe utakapo lifanyia kazi wazo lako.Marafiki, wazazi,ndugu na watu wanao kuzunguka hawezi kuona faida ya wazo ikiwa wewe mwenyewe huwezi kulifanyia kazi ili waweze kuliona. Safari ya Binti ...

Wednesday, February 20, 2019

African Necklace/Mikufu ya Shanga

By On February 20, 2019
Penda kujivunia utamaduni wako.Vitu vya asili kama mavazi ,vyombo,nyumba zilizojengwa kwa ubinifu wa hali ya juu lakini muonekano ni waasili pia huvutia sana.Leo nataka kukupa siri unapovaa vazi la asili na vikorombwezo vyake huwa ina pendeza na kukupa muonekano wa tofauti sana.Kitu unachopaswa kufahamu unavalia nini na kwa wakati gani? Ukitaka kupendeza na culture vaa na nguo  ya rangi...

Sunday, January 13, 2019

Colar Living Rangi ya mwaka 2019#Coral Living

By On January 13, 2019
              Optimism colar living color of the year 2019 Coral Living  ni rangi iliyochaguliwa na kampuni ya Pantone  rangi imeonesha kuvutia na viumbe wanaoishi kwenye maji,na hii rangi huwa inapatikana kwenye coral reefs,mwaka huu inabeba ujumbe kuwa ni rangi yenye kuonesha matumaini,ujasiri na mafanikio katika mwaka 2019. Kama uliweza...

Heshima ya Mwanamke katika harusi na send-off

By On January 13, 2019
Mwanamke unavaa vazi kama hili.Matiti yote yako n'je tubadilike Utamaduni wetu pamoja na maadili ya dini miaka ya nyuma mwanamke alikuwa anajistili vema kwa kuficha maungo yake lakini sasa hivi wanawake tunaanika sana viungo vyeti vya mwili bila kujali kupoteza haiba zetu. Binti anapoolewa au anapokuwa katika sherehe yoyote wengi wetu siku hizi zimekuwa kama sehemu za kuonesha miili yetu,wengine...

Monday, August 13, 2018

Mishono mipya ya sendoff Agosti 2018.#vitenge

By On August 13, 2018
Binti unayeagwa ni vema basi kuwa angala na mavazi ya kanisani, wakati wa kupiga picha,nyumbani, na vazi la kuvaa ukumbini kama una uwezo wa kufanya hivyo lakini kama huna mavazi mawili tu yanakutosha. Vazi la kanisani ndilo utakalokwenda nalo kupiga picha kisha ukimaliza utaenda kuagwa nyumbani na familia yako.Kisha ukumbini unatafuta vazi zuri litakalo kufaa. Kumbuka kuwa ugumu wa maisha au ukubwa...

Furaha ya Wazazi ni kumuaga binti yao #Sendoff Party#Mishono ya Sendoff

By On August 13, 2018
Ushawahi kujiuliza  haya maswali,kuwa ni rangi gani utavaa wakati kuagwa nyumbani kwenu,Ushawahi jiuliza unataka kuwa na muonekano gani siku ya sendoff yako,Je?Mume wangu mtarajiwa atavaa nini? ni kweli ni lazima tufanane kimavazi hata rangi tu ya nguo ina ulazima gani?,Wageni waalikwa watavaaje katika siku yangu. Binti unayeagwa ni vema basi kuwa angala na mavazi ya kanisani, wakati wa kupiga...

Tuesday, May 22, 2018

Bold fashion

By On May 22, 2018
 Socks with heels is a bold fashion statement that we have seen on most and popular bloggers who have bold and adventurous style, but that doesn’t mean you can’t absolutely rock that trend, too. If you think that classic pumps and sandals too formal for street wear, then wear socks with them to make it cool and more casual. You can wear quirky socks and shoes combo in different contrasting...

Monday, May 21, 2018

Harusi itakayofunga mwaka 2018#Meghan Markle &Prince Harry.

By On May 21, 2018
Ilikuwa tarehe 19 mei 2018.Ambapo Prince Harry na Meghan Markle waliweza kufunga ndoa  katika kanisa la St.George's Chapel Windsor caster-United kingdom. Inasadikika kuwa watu million 18 nchini marekani na watu milioni 100 duniani waliweza kuitazama harusi hiyo kupitia vyombo vya habari vilivyokuwa vina rusha harusi hiyo Mubashara.Ilirushwa  kupitia CNN,BBC America,Sky News,Fox ,BBC one.na...

Saturday, May 12, 2018

Hii ndiyo rangi ya mwaka 2018#purple

By On May 12, 2018
Kumekuwa na mkanganyiko sana kuhusu rangi ya mwaka,Wengine wamekuwa wakidai bluu ndiyo rangi ya mwaka kutokana na kwamba mwaka Jana ilivaliwa mno hasa na maharusi. Naomba nikutoe kimasomaso rangi iliyotangazwa na Pantone ambayo ninkampuni inayotekeleza jukumu hilo baada ya kufanya utafiti katika mitindo mbali mbali hutoa rangi ya mwaka. Rangi ya dhambarau IPO katika muonekano tofauti .nitatupia...

Friday, May 11, 2018

Ubunifu wa kipekee,kwa mtu wa kipekee

By On May 11, 2018
Ninapozungumzia ubunifu,hii ni hali ya kuwa na wazo La tofauti katika jambo unalofanya,Mimi nazungumzia ubunifu wa mavazi ambao humfanya mtu kuwa wa kipekee. Hivyo upekee wa mavazi ndiyo hutambulisha mtu,mfano mtu huambiwa umevaa kama changudoa kutokana na muonekano wa vazi hulilovaa kuwa ni la kichangudoa,au unaweza ambiwa umevaa kama bibi,babu,kijana,mshamba ,miss nikutokana na muonekano...

Wednesday, April 18, 2018

Vazi la Ubunifu kwa kutumia Ungo#Makeke

By On April 18, 2018
Baada ya uzoefu mkubwa katika matumizi ya mapishi jikoni, ungo umejizolea umaarufu mkubwa  baada ya kuingizwa rasmi katika tasnia ya sanaa hususani katika  ubunifu wa mavazi na kupewa jina la *LUPAHERO* na Jo;cktan Makeke.  *MAANA YA LUPAHERO* Ubunifu huu wa mavazi umepewa jina la *LUPAHERO* ambalo ni mchanganyiko wa majina mawili ambayo ni *LUPAPIKE*, neno la *kinyakyusa* lenye...

Thursday, March 29, 2018

Kitenge ndani ya Manyoa.#kichenparty#vitenge

By On March 29, 2018
Tunapozungumzia ubunifu,ni ufundi anaoutumia msanii yeyote katika kuwasilisha/kufanya kazi yake iwe tofauti na na kazi za watu wengin Vazi La kitenge ni vazi unaloweza kuchanganya na kitambaa au mapambo yoyote katika ubunifu na ukapata vazi LA kipekee ,kama hilo vazi ni la kitenge ila limetiwa nakshi za manyoa kazi kwako....

Saturday, March 10, 2018

African kids Fashion#2018

By On March 10, 2018
Watoto wadogo  siyo lazima kuwanunulia mavazi ya special ama mtumba wanaweza kupendeza katika vazi LA kiafrika na wakawa na muonekano mzuri.Kama unavyoona  baadhi ya hawa watoto wakiwa katika mavazi ya mutadha tofauti. Watoto katika vazi la Nigeria  Kivazi cha part kwa mtoto(baby yellow)  Katika muonekano wa vazi la kibunifu la kitenge kipart zaidi. ...
Page 1 of 561234567...56Next »Last

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu

1116836