Tunapozungumzia ubunifu,ni ufundi anaoutumia msanii yeyote katika kuwasilisha/kufanya kazi yake iwe tofauti na na kazi za watu wengin
Vazi La kitenge ni vazi unaloweza kuchanganya na kitambaa au mapambo yoyote katika ubunifu na ukapata vazi LA kipekee ,kama hilo vazi ni la kitenge ila limetiwa nakshi za manyoa kazi kwako.
TEKNOLOJIA ZA TARI KIFULILO ZAWAVUTIA WAKULIMA NANENANE IRINGA
-
TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Kituo cha Kifulilo kimesema
ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika mkoani Iringa kwa
mar...
2 days ago


No comments:
Post a Comment