Tunapozungumzia ubunifu,ni ufundi anaoutumia msanii yeyote katika kuwasilisha/kufanya kazi yake iwe tofauti na na kazi za watu wengin
Vazi La kitenge ni vazi unaloweza kuchanganya na kitambaa au mapambo yoyote katika ubunifu na ukapata vazi LA kipekee ,kama hilo vazi ni la kitenge ila limetiwa nakshi za manyoa kazi kwako.
HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MADHUBUTI WA MIRADI
YA MAENDELEO
-
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imepongeza uongozi
wa Halmashauri ya Jiji la Arusha ukiongozwa na Mkurugenzi wa Jiji, Ndugu
Joh...
19 hours ago


No comments:
Post a Comment