Tunapozungumzia ubunifu,ni ufundi anaoutumia msanii yeyote katika kuwasilisha/kufanya kazi yake iwe tofauti na na kazi za watu wengin
Vazi La kitenge ni vazi unaloweza kuchanganya na kitambaa au mapambo yoyote katika ubunifu na ukapata vazi LA kipekee ,kama hilo vazi ni la kitenge ila limetiwa nakshi za manyoa kazi kwako.
MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI EAC WAANZA JIJINI ARUSHA
-
Mkutano wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki umeanza leo
Aprili 22, 2025 jijini Arusha ambako ndiyo Makao Makuu ya Jumuiya hiyo.
Mkutano...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment