Tunapozungumzia ubunifu,ni ufundi anaoutumia msanii yeyote katika kuwasilisha/kufanya kazi yake iwe tofauti na na kazi za watu wengin
Vazi La kitenge ni vazi unaloweza kuchanganya na kitambaa au mapambo yoyote katika ubunifu na ukapata vazi LA kipekee ,kama hilo vazi ni la kitenge ila limetiwa nakshi za manyoa kazi kwako.
Utalii : Ngorongoro ni Kapu Lililobeba Matunda Matamu, Sasa Tunayauza.
-
Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania Ephraim Balozi Mafuru kwa niaba ya
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii ameongoza timu ya wizara hiyo
kwenye ...
21 hours ago


No comments:
Post a Comment