Tunapozungumzia ubunifu,ni ufundi anaoutumia msanii yeyote katika kuwasilisha/kufanya kazi yake iwe tofauti na na kazi za watu wengin
Vazi La kitenge ni vazi unaloweza kuchanganya na kitambaa au mapambo yoyote katika ubunifu na ukapata vazi LA kipekee ,kama hilo vazi ni la kitenge ila limetiwa nakshi za manyoa kazi kwako.
Biashara : Taasisi za Kifedha za Ndani Zinafaa Kuimarisha Ushirikiano na
Serikali katika Miradi ya Maendeleo - Rais Dkt. Mwinyi
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt.
Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza kuwa bado kuna fursa nyingi kwa taasisi za
kifedha...
3 days ago


No comments:
Post a Comment