Enter your keyword

Culture for Life.

Thursday, June 13, 2013

Faida ya Kula Samaki


  • Huendesha mfumo wa kinga ya mwili
  • Huzuia saratani
  • Hutoa ahueni kwa wenye pumu
  • Hupambana na dalili za awali za ugonjwa wa figo
  • Huongeza nishati ya ubongo
  • Huyeyusha damu, huifanya kuwa nyepesi
  • Huilinda mishipa ya damu isiharibike
  • Huzuia damu kuganda
  • Hushusha shinikizo la damu
  • Hupunguza hatari ya kupatwa na mshituko wa moyo na kiharusi
  • Hutuoa ahueni kwa wenye ugonjwa wa kipandauso
  • Husaidia kuzuia uvumbe mwilini

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu