Enter your keyword

Culture for Life.

Saturday, June 15, 2013

Glory Stephen Miss Redd's Arusha 2013

 Mrembo wa taji la Redd's Miss Arusha Glory Stephen  (katikati) akiwapungia watazamaji walongia kufuatilia mashindano hayo  baada ya kutangazwa mshindi nafasi ya pili  ni Nance Mushi



 Mwandaaji wa Redd's Miss kanda ya kaskazini Faustin Mwandago akiwa anawapongez warembo walioshinda katika shindano









Faustin Mwandago

 Mwandaaji wa Redd's Miss kanda ya kaskazini 


Mzee Yusuph Kazini ndani ya kumbi wa Triple A complex


Phide Mwakitalima akifuatilia mashindano kwa Umakini.


 

watazamaji wakiwa katika Burudani na Mzee Yusuph


No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu