Enter your keyword

Culture for Life.

Thursday, June 13, 2013

Wanaume Wanawapenda Wanawake wa Aina hii.

Ni wazi kuwa kila Mwanamke anatamani kumpata Mwanaume mwenye sifa anazozitafuta kila siku.Kumbuka nao Wanaume wanafanya hivyo pia,Jifunze kupita sifa hizi leo.

1.Mwanamke mwenye Msimamo 
 

Mwanaume humwangalia  Mwanamke kama anaMsimamo ,Sio Mwanamke uko kama Kinyonga,kila Mwanaume anahitaji kuwa na uhakika,Mwanamke aliyemkabidhi moyo hana mihangaiko na hayumbishwi na lolote na chochote 

Unaweza kuwa na kila kitu,Mzuri wa Sura na pia huenda ukawa umebarikiwa Mali na bado usimpate Mwanaume unayetamani kuwa naye.
2.Mwanamke unapaswa kuwa Mwelevu 


Jitahidi kumwelewa Mwenzi wako,Usiwe mtu wa lawama kila kukicha anapokuwa na nafasi ndiyo wakati wako mzuri wa kumueleza yote anyokukwaza,Ukiweza kuwa na Lugha nzuri hakika yeye ndiyo atakuwa mpole kwako na atakupenda zaidi Wanaume hawapendi kukalipiwa hata siku moja.




3.Mwanamke ni Kichwa cha Nyumba.

Maana yangu ni kwamba,siku zote mwanaume ni kichwa cha nyumba lakini pia kichwa bila macho bado hamna kitu,Mwanamke unapaswa kuwa mshauri mkubwa kwa mwenzi wako,wengi wetu tunajali Urembo,ujue leo kuna mtindo upi umeingia sokoni iliweze kuomba hela ya kukufanya wewe utokelezee,Jiulize swali hili,utawezaje?kupendeza bila mwendeleo ndani amka Mwanamke.

 Women have planning and control ability,USE IT...Usikae tu kama muuza genge unasubiri wateja,Do your job and Win him!

4.Mwanamke sharti uwe msafi.
Msaidie Mwanaume awe msafi pia,rohoni hadi mwilini jiatahidi kusali,Juwa kuwa usipo mfanya mume wako kuwa nadhifu huko mtaani watamsafisha na atakuama,pia usafi wa mwili wako,nyumba,Upikaji wako naomba leo nikupe siri,wanaume wanapenda wanawake,Wasafi kuanzia mwili wake,Mahali anapoishi na Mapishi mwisho jitahidi kumtuliza mumeo mpe vitu anavyopenda hapo utaweza kulinda penzi lako.

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu