Enter your keyword

Culture for Life.

Wednesday, June 10, 2015

FAIDA YA TENDO LA NDOA.



Image result for tendo la ndoa
Nitumaini langu wewe unayesoma makala hii ni mwanandoa au upo katika harakati za kuingia katika ndoa.Ikumbukwe kuwa tendo la ndoa hufanywa na wana ndoa tu na siyo wachumba,marafiki na halifanyiki hovyohovyo tu bila makubaliano ya watu wawili nikiwa na maana ya wanandoa.
Image result for tendo la ndoa
1.Tendo hili ni muhimu kwani hufanya ndoa iendelee kuwepo.Ndiyo sababu wanandoa mmoja wapo anapokosa kupata ushirikiano kwa mwenza wake.hupelekea ndoa kuvunjika na kufanya mmoja wapo kutoka n’je ya ndoa.

2.Tendo la ndoa ni burudani kwa wanandoa.Wakati mwingine mtu anayekosa kufanya tendo hili katika ndoa hupelekea migogoro hata kununiana ndani ya nyumba,kuwa na msongo wa mawazo.

3.Hapa wanandoa wanatakiwa kuwa wavumilivu na kujitoa.

4.lengo hasa la tendo la ndoa ni uzazi.Ili kuikamilisha ndoa lazima mpate watoto ndiyo sababu ya kuunganika na kuwa mwili mmoja.Kwasasa tendo la ndoa limekuwa likifanywa.kinyume,wengi wetu katika jamii wanafanya bila kuzingatiaa maadili ya hili tendo,mzee kwa kijana,mume au mke wa mtu,vijana,watoto walio chini ya miaka 18 pia wamejiingiza katika zinaa(Uzinzi).Mpenzi msomaji kama wewe ni mmoja wapo tulia kuwa na mmoja ambaye ni mume au mke wako ndiyo utafurahia tendo la ndoa.

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu