Jinsi ya Kuuteka Upendo Wa Mama Mkwe.
By
SINYATIBLOG
On
May 21, 2015
In
Maisha
Wanawake wenzangu wengi wetu tumekuwa tukiwachukia wakwe zetu kwa kauli za kusikia tu kwa watu.Tabia za wakwe zetu kweli huwa hazilingani wapo wenye upendo wa dhati lakini wengine utajuta hata mume utamkimbia.Leo naomba tusaidiane kidogo ili kuweza kuifurahia ndoa yako pamoja na kumpenda mkwe wako zaidi kwa vitu vidogo ambavyo havina gharama lakini vitakupa heshima na kupendwa na mama mkwe.
Jifunye...