Enter your keyword

Culture for Life.

Wednesday, September 27, 2017

Jinsi kijana unavyoweza kuchangamkia fursa katika sanaa #mimi na sanaa

By On September 27, 2017
Gerald Soka ni kijana  aliyemaliza shahada ya utalii katika chuo kikuu cha Dodoma Tanzania.Mbali na shahada hiyo Gerald anasema alikuwa anapenda sana kuchora na alishawahi kuwa mshindi katika uchoraji kipindi cha UMITASHUNTA mwaka 1999.Anasema baada ya kumaliza chuo alipata nafasi ya kutembelea Uganda na rafiki yake. Saa ya ukutani Gerald Anasema alipofika Uganda ndipo aliona fursa ya uchoraji...

Sunday, September 24, 2017

How to style kitenge with strip Attire.

By On September 24, 2017
Ukiwa na kitambaa cha mistari(strips) unaweza tafuta kitenge chenye maduara au maua ya karibu na kuyakata mtindo wa duara au umbo utakalo hitaji ,kisha bandika mwenye nguo yako.Hakika utapata muonekano wa tofauti sana na ukiwa kiasili p...

Tuesday, September 19, 2017

Gauni La kitenge kwa muonekano wa kanisani na sherehe#2017

By On September 19, 2017
 Endapo utashona kwaajili ya kanisani hakikisha inakuwa ndefu kidogo kwani kanisani ni mahali patakatifu na panahitajibkuheahimiwa pia.  Mishono kama hii utakapoitumia kama kuwa nguo ya kutokea namaanisha Street wear utakuwa hujaitendea haki. ...

Muonekano wa suti za kike #2017

By On September 19, 2017
 Suti yenye kifungo kimoja,mtindo wa suruali kama unavyouona haijafika mwenye ankle.  Muonekano huu pia ni mzuri.kwa MTU ambaye hana tumbo kubwa.  Muonekano huu umekuwa ukiwa vutia wadada wengi .ni vema pia unapoushona hakikisha unamguu wa kuvalia isije onekana suti kama imetundikwa. ...

Sunday, September 17, 2017

Urembo wa asili shingoni.#"mimi na Sanaa kwanza"

By On September 17, 2017
Wanawake kwanza nawapa pongezi kwa jitihada zenu katika karne hii,wanawake wengi wameweza kuwa wabunifu has a kwa kutumia rasilimali zinazotunguka. Leo nitazungumza namna ya kuwezakuvaa  hizi shanga shingoni,IPO mitindo mbalimbali . shanga zilizounganishwa na kitenge. Unaweza kuvaa shanga hii hasa katika vazi lla mtaani,mwenye sherehe (watu wengi hutumia shanga hizi kwenye harusi maranyingi)Tukiendelea...

Vikapu vya asili huweza kuwa mbadala wa Mifuko ya Rambo.

By On September 17, 2017
Mifuko ya rambo imekatzwa kutumika nchini kenya.sasa unaweza kutumia vikapu vizuri kama hivi kwa ajili ya manunuzi ya vitu vyako sokoni. Vikapu hivi hutengenezwa na wanawake nchini Tanzania,Pia huviuza kwa being ndogo ambayo mtanzania yeyote huweza kumiliki kikapu hiki. Kwa mtu anaye hitaji nitafute kwa namba +255 756377...

Saturday, September 16, 2017

NATARAJIA KUINGIZA SOKONI KITABU CHANGU HIVI KARIBUNI KINACHOKWENDA KWA JINA "MAPENZI KABURINI"

By On September 16, 2017
    Ningependa ujue kipaji hiki kimeanzia wapi? Huwa napenda  kujibembeleza au kujifariji nikiwa natembea kwa kutengeneza hadithi katika fikra zangu ili kuweza kufika ninakoelekea bila kuchoka au ninapotaka kulala,Vilevile kipindi nikiwa shuleni nilikuwa napenda sana kutengeneza hadithi na kuweza kuziigiza wakati wa mahafali na wanafunzi...

Wednesday, September 6, 2017

Ubunifu wa kitenge 2017

By On September 06, 2017
Msanii Elizabeth Michael katika muonekano wa kitenge 2017 Muonekano huu wa kuongezea nakshi katika kitenge umekuwa kivutio hasa unapoweza kuchanganya urembo wa hiyo nashi katika kitenge chako,unaweza kuweka chini ya magoti,shingoni,katika kifua,hata mikononi. Vazi la kitenge ni vazi ambalo ubora wake kila siku unaongezeka,kinachotakiwa ni kuongeza ubunifu vazi hili ili kulipa uthamani...
Page 1 of 561234567...56Next »Last

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu

1116880