Yafahamu maneno machache ya kisheng hutumika sana kenya ingawa hapa bongo kunawatu hutumia baadhi ya haya maneno.
maneno haya baadhi ya vijana mtaani pia wanayatumia kama lugha ya mficho.
NDULA -KIATU
NDIMU -HASIRA
NDECHU -GOLD
RIBA -HADITHI
KUNG'ORA -KUANGUKA
MA-OCAMPO -POLISI
MANGA -KULA
KAWA -KAMA KAWAIDA
TUWA -WATU
TEKI -IBA
MATOPE -KUONGEA VIBAYA
PUNJU - MTU MJINGA
FINE THANK YOU - MANZI AMEIVA
KASHESHE - SHIDA
MAYOLO -SHORCUT
NITAWAKICHE -NITAWACHEKI
KANJA -LIPA
KUBEAT -KUCHOKA
FIX -UWONGO
SUNDA -FICHA
KONKODI -CONDUCTOR
KA-SODIUM -CHUMVI
PROMO -KUJIDAI
Msibani : Marehemu Jenista Mhagama Alikuwa Kiongozi Jasiri, Mwaminifu na
Mlezi wa Viongozi Wengi - Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo
ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga
mwi...
20 hours ago

No comments:
Post a Comment