Yafahamu maneno machache ya kisheng hutumika sana kenya ingawa hapa bongo kunawatu hutumia baadhi ya haya maneno.
maneno haya baadhi ya vijana mtaani pia wanayatumia kama lugha ya mficho.
NDULA -KIATU
NDIMU -HASIRA
NDECHU -GOLD
RIBA -HADITHI
KUNG'ORA -KUANGUKA
MA-OCAMPO -POLISI
MANGA -KULA
KAWA -KAMA KAWAIDA
TUWA -WATU
TEKI -IBA
MATOPE -KUONGEA VIBAYA
PUNJU - MTU MJINGA
FINE THANK YOU - MANZI AMEIVA
KASHESHE - SHIDA
MAYOLO -SHORCUT
NITAWAKICHE -NITAWACHEKI
KANJA -LIPA
KUBEAT -KUCHOKA
FIX -UWONGO
SUNDA -FICHA
KONKODI -CONDUCTOR
KA-SODIUM -CHUMVI
PROMO -KUJIDAI
MKUTANO WA UTOFAUTI WA KITAALUMA 2025: MAWAKILI WAJADILI MUSTAKABALI WA
MAZINGIRA YA KAZI
-
Na Woinde Shizza , Arusha
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimewakutanisha mawakili wa serikali
kutoka mikoa mbalimbali nchini katika Mkutano w...
1 day ago

No comments:
Post a Comment