Enter your keyword

Culture for Life.

Tuesday, February 26, 2013

False eyeleshes(Namna ya kutumia kope bandia)

By On February 26, 2013
kope bandia jicho ambalo lisha valishwa kope bandia Gundi ya kope bandia Watu wengi hupenda kope ndefu na kulazimika kutumia kope bandia hasa wenye kope fupi na wale wenye macho madogo,Unapotumia kope bandia hufanya macho yako yaonekane vizuri na yavutie zaidi.Vitu utavyohitaji kabla ya kuweka kope bandia ni :Kope bandia zenyewe, gundi ya kope bandia(False eyelash glue)Maskara na kioo.Njia...

Monday, February 18, 2013

MAZISHI YA Askofu Thomas Laizer

By On February 18, 2013
Familia ya marehemu ikiwa katika picha ya pamoja kwenye kaburi la marehemu muda mfupi baada ya mwili wa marehemu kupumzishwa katika kaburi lake. Rais Kikwete akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Askofu Dk.Thoma Laizer Maaskofu na wachungaji kutoka dayosisi mbalimbali za KKKT wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Askofu Thomas Laizer, alhamis iliyopita siku moja  kabla ya...

Saturday, February 16, 2013

Emerald green rangi ya mwaka 2013

By On February 16, 2013
 KIJANI Kampuni ya Pantone ya Marekani ambao ni wataalamu wa kuangalia rangi iliyoshika chati katika masuala ya mitindo kila mwaka, wameichagua rangi ya kijani kuwa rangi ya mwaka 2013, baada ya kupiga kura  na kufanya utafiti wa rangi ya mwaka huu  kupitia Wanamitindo mbalimbali.Kwaheri rangi ya Zambarau (purple color) ambayo ilishika chati mwaka jana katika mitindo mbalimbali...

Wednesday, February 13, 2013

Tuesday, February 12, 2013

Ndoa za Arusha: Harusi, Virusi, Kiharusi

By On February 12, 2013
 Na Mpanda Vifodi  Sasa ni katika moja ya hizo safari za kwenda Uswahilini ambapo lilizuka gumzo linalohusu ‘Ndoa za Arusha,’ ‘Wanandoa,’ na ‘Maovu yanayofanywa na wanandoa wenyewe hapa mjini …. Hapana sijazungumzia lolote kuhusu ‘Katerero!’ kwanza sijui maana yake ni nini.  “Usitishwe na Ving’ora au Tarumbeta za Arusi, ndoa nyingi za Arusha huvunjika ndani ya mwaka mmoja tu tokea...

Saturday, February 9, 2013

What To Wear: Valentine's Day

By On February 09, 2013
white suit and red tie and red pink shirt for men night dress (all pic by google) Vazi la siku ya wapendanao Siku ya wapendanao ni siku ya kila mtu kuonyesha shukrani zetu kwa watu tunaowapenda na walio karibu na maisha yetu kwa njia moja au nyingine.Watu hao wanaweza kuwa mama,baba,dada,kaka,mpenzi,mchumba,mke,mume,ndugu,marafiki,wafanyakazi wenzako  pamoja na...

Thursday, February 7, 2013

Uzuri ni Maisha

By On February 07, 2013
Kuna kitu ambacho kinawagusa vijana na wazee kwa mpigo. Kitu hicho ni Uzuri. Muonekano wa mtu wakati fulani unaweza kukita uzuri kwenye upendo kwani jinsi mtu anavyofanana huchukua sehemu kubwa na muhimu katika suala la uchaguzi wa mwenza. Hivyo msemo wa , “Uzuri upo katika jicho la mtazamaji”. Ina maana kuna kitu kinachonekana. Magerezani siku hizi hupenyezwa vioo kwa lengo moja tu, kujiangalia wenyewe....

Beauty is Life

By On February 07, 2013
There is one thing which affects the young and the old alike. Its one's beauty.How one looks at a given time.you can link beauty to love as looks plays an important role in the choice of a mate. Thus they say beauty lies in the eyes of the beholder. It means there is something to be seen.In prisons nowadays they smuggle in mirrors for only one purpose,to see themseves.It be men or women,looking...

Monday, February 4, 2013

MAZENGO TRADERS

By On February 04, 2013
Mazengo Traders Arusha.IF YOUR AWAY FROM ARUSHA PLEASE CONTACTS US THEN WE WILL ORGANIZE HOW TO DELIVER   +255 756 377 940 ARUSHA HAND CRAFTS,TV STAND DESIGNER BY Mazengo Traders Add caption Msikiti SOFA DESIGNER Mazengo TRADERS TV STAND DESIGNER MAZENGO TRADERS SUN BED COACH DESIGNER MAZENGO TRADERS SUNBED COACH DESIGNER MAZENGO TRADERS ARUSHA SITTING...
Page 1 of 561234567...56Next »Last

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu