Enter your keyword

Culture for Life.

Monday, February 18, 2013

MAZISHI YA Askofu Thomas Laizer

Familia ya marehemu ikiwa katika picha ya pamoja kwenye kaburi la marehemu muda mfupi baada ya mwili wa marehemu kupumzishwa katika kaburi lake.

Rais Kikwete akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Askofu Dk.Thoma Laizer

Maaskofu na wachungaji kutoka dayosisi mbalimbali za KKKT wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Askofu Thomas Laizer, alhamis iliyopita siku moja  kabla ya mwili huo kuzikwa

Rais Jakaya Kikwete akiwa na Marais wastaafu Benjamin Mkapa, Ali Hassan Mwinyi na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowasa, wakifuatilia ibada ya mazishi ya Askofu Thomas Laizer ijumaa iliyopita.

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu