Enter your keyword

Culture for Life.

Saturday, October 21, 2017

Ijue Asili Na Namna Ya Kuvaa Pajama(pjs)#pajamas

By On October 21, 2017
Mpenzi msomaji  Wa  makala  zangu  Za mavazi,leo  napenda  ujue  asili  ya  vazi  hili  la  pajama ambalo  kwa  sasa  kutokana na   mwanadada  Zari  kulivaa , limeshika  mashiko  sana  Tanzania kwa  wapenda  fasheni .japo  kuna  watu  walimnanga alipovaa  kwa  kutojua...

Monday, October 9, 2017

Party dress#2017

By On October 09, 2017
Muonekano  Wa  gauni  la  party  kutoka  kwa  muigizaji  Wa  Kike Iniedo  kutoka  nigeria-Afrika ...

Wednesday, September 27, 2017

Jinsi kijana unavyoweza kuchangamkia fursa katika sanaa #mimi na sanaa

By On September 27, 2017
Gerald Soka ni kijana  aliyemaliza shahada ya utalii katika chuo kikuu cha Dodoma Tanzania.Mbali na shahada hiyo Gerald anasema alikuwa anapenda sana kuchora na alishawahi kuwa mshindi katika uchoraji kipindi cha UMITASHUNTA mwaka 1999.Anasema baada ya kumaliza chuo alipata nafasi ya kutembelea Uganda na rafiki yake. Saa ya ukutani Gerald Anasema alipofika Uganda ndipo aliona fursa ya uchoraji...

Sunday, September 24, 2017

How to style kitenge with strip Attire.

By On September 24, 2017
Ukiwa na kitambaa cha mistari(strips) unaweza tafuta kitenge chenye maduara au maua ya karibu na kuyakata mtindo wa duara au umbo utakalo hitaji ,kisha bandika mwenye nguo yako.Hakika utapata muonekano wa tofauti sana na ukiwa kiasili p...

Tuesday, September 19, 2017

Gauni La kitenge kwa muonekano wa kanisani na sherehe#2017

By On September 19, 2017
 Endapo utashona kwaajili ya kanisani hakikisha inakuwa ndefu kidogo kwani kanisani ni mahali patakatifu na panahitajibkuheahimiwa pia.  Mishono kama hii utakapoitumia kama kuwa nguo ya kutokea namaanisha Street wear utakuwa hujaitendea haki. ...

Muonekano wa suti za kike #2017

By On September 19, 2017
 Suti yenye kifungo kimoja,mtindo wa suruali kama unavyouona haijafika mwenye ankle.  Muonekano huu pia ni mzuri.kwa MTU ambaye hana tumbo kubwa.  Muonekano huu umekuwa ukiwa vutia wadada wengi .ni vema pia unapoushona hakikisha unamguu wa kuvalia isije onekana suti kama imetundikwa. ...

Sunday, September 17, 2017

Urembo wa asili shingoni.#"mimi na Sanaa kwanza"

By On September 17, 2017
Wanawake kwanza nawapa pongezi kwa jitihada zenu katika karne hii,wanawake wengi wameweza kuwa wabunifu has a kwa kutumia rasilimali zinazotunguka. Leo nitazungumza namna ya kuwezakuvaa  hizi shanga shingoni,IPO mitindo mbalimbali . shanga zilizounganishwa na kitenge. Unaweza kuvaa shanga hii hasa katika vazi lla mtaani,mwenye sherehe (watu wengi hutumia shanga hizi kwenye harusi maranyingi)Tukiendelea...

Vikapu vya asili huweza kuwa mbadala wa Mifuko ya Rambo.

By On September 17, 2017
Mifuko ya rambo imekatzwa kutumika nchini kenya.sasa unaweza kutumia vikapu vizuri kama hivi kwa ajili ya manunuzi ya vitu vyako sokoni. Vikapu hivi hutengenezwa na wanawake nchini Tanzania,Pia huviuza kwa being ndogo ambayo mtanzania yeyote huweza kumiliki kikapu hiki. Kwa mtu anaye hitaji nitafute kwa namba +255 756377...

Saturday, September 16, 2017

NATARAJIA KUINGIZA SOKONI KITABU CHANGU HIVI KARIBUNI KINACHOKWENDA KWA JINA "MAPENZI KABURINI"

By On September 16, 2017
    Ningependa ujue kipaji hiki kimeanzia wapi? Huwa napenda  kujibembeleza au kujifariji nikiwa natembea kwa kutengeneza hadithi katika fikra zangu ili kuweza kufika ninakoelekea bila kuchoka au ninapotaka kulala,Vilevile kipindi nikiwa shuleni nilikuwa napenda sana kutengeneza hadithi na kuweza kuziigiza wakati wa mahafali na wanafunzi...

Wednesday, September 6, 2017

Ubunifu wa kitenge 2017

By On September 06, 2017
Msanii Elizabeth Michael katika muonekano wa kitenge 2017 Muonekano huu wa kuongezea nakshi katika kitenge umekuwa kivutio hasa unapoweza kuchanganya urembo wa hiyo nashi katika kitenge chako,unaweza kuweka chini ya magoti,shingoni,katika kifua,hata mikononi. Vazi la kitenge ni vazi ambalo ubora wake kila siku unaongezeka,kinachotakiwa ni kuongeza ubunifu vazi hili ili kulipa uthamani...

Tuesday, May 23, 2017

Beyonce Baby Shower #ASili ya Baby shower na namna ya kuifanya.

By On May 23, 2017
" Baby shower"Asili yake ni kwamba hufanya mwanamke mjamzito,mimba yake inatakiwa iwe na miezi sita(6) au nane(8) na kwautamaduni wa wenzetu kama Egpty ufanya hasa kwa mwanamke ambaye anatarajia kupata mtoto wa kwanza katika familia yake.Pia kipindi hiki mwanamke anatakiwa kula milo mizuri kwa ajili ya kujenga afya ya mtoto. Ambapo mwanamke huyo huwaalika rafiki zake wa kike ambao humletea zawadi...

Monday, May 22, 2017

Muoekano mzuri wa kwenda beach kiutamaduni zaidi

By On May 22, 2017
Kujivunia vitu vya asili ni muhimu kwa kila mwananchi bila kujali utaifa wako.Leo nitaongelea ubebaji wa mikoba ya asili wakati unapokwenda kupumzika ufukweni na familia yako,marafiki au mpenzi wako.Basi vitu vyako unaweza weka katika mikoba hii,pia hakikisha unavaa viatu flat kama ambavyo vinaonekana hapo. ...

Sunday, May 14, 2017

Pleated skirt # Skirt za malinda zimerudi tena katika mitindo ya mavazi.

By On May 14, 2017
Malinda katika vazi la mwanamke yalionekana sana katika mavazi ya wanafunzi hasa mashuleni lakini miaka 1994 mavazi yenye mtindo huu wa malinda yalivaliwa sana na wamama(wakina mama wenye makamo)vilevile mavazi yenye malinda yalivaliwa sana na watoto wa kike,hasa katika magauni au skirt zao . Sasa hivi hili vazi linavaliwa na kinadada zaidi,lakini hata msanii wa kike Emilia Clarke katika filamu...
Page 1 of 561234567...56Next »Last

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu

1116874