Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
MAKONDA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI
DUNIANI... 'ACHENI KUTANGAZA WATU, TANGAZENI NCHI
-
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda
akizungumza kwenye Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya
Habari Dunia...
1 day ago

No comments:
Post a Comment