Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
Utalii : Ngorongoro ni Kapu Lililobeba Matunda Matamu, Sasa Tunayauza.
-
Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania Ephraim Balozi Mafuru kwa niaba ya
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii ameongoza timu ya wizara hiyo
kwenye ...
22 hours ago

No comments:
Post a Comment