Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
TANESCO YAENDELEA KUIMARISHA MATUMIZI YA TEHAMA KUBORESHA HUDUMA
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuonesha dhamira yake ya
kuendana na kasi ya maendeleo ya teknolojia duniani ...
1 day ago

No comments:
Post a Comment