Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
ARUSHA YAANDAA TAMASHA KUBWA LA UTALII, UFUNDI, FURSA KWA WAJASIRIAMALI
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Jiji la Arusha linatarajiwa kuwa kitovu cha utalii, sanaa, utamaduni na
biashara baada ya kuandaliwa kwa Tamasha la Arusha A...
1 day ago

No comments:
Post a Comment