Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
WANAHABARI WATAKIWA KUJALI TAHADHARI ZA KIUSALAMA
-
Mwandishi wetu,Morogoro
Waandishi wa habari na watangazaji wametakiwa kujali tahadhari za kiusalama
wakati wakitekeleza majukumu yao,kwani hakuna habar...
19 hours ago

No comments:
Post a Comment