Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
Kimataifa : Museveni na Kikwete Wakutana Kampala Kujadili Amani Sudan Kusini
-
RAIS wa Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amekutana na kufanya
mazungumzo na Rais mstaafu wa Tanzania na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa
Afri...
2 days ago

No comments:
Post a Comment