Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
MABEYO AWATAKA VIONGOZI WA NGORONGORO KUIMARISHA UTALII NA UHIFADHI
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
(NCAA), Jenerali mstaafu *Venance Mabeyo*, amewataka vio...
1 day ago

No comments:
Post a Comment