Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
LOLIONDO COACH YAONGEZA MAGARI MAPYA YA KISASA KUIMARISHA HUDUMA ZA USAFIRI
-
*Na Woinde Shizza, Arusha*
*Kampuni ya usafiri wa mabasi ya Loliondo Coach, yenye makao makuu yake
jijini Arusha, imezindua magari mapya matatu ya k...
1 day ago

No comments:
Post a Comment