Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
Kampuni ya Bolton Tanzania yazindua viuatilifu 10 kusaidia wakulima nchini
kongeza uzalishaji
-
Mwandishi Wetu,Arusha
Kampuni ya Balton Tanzania, imezindua viatilifu 10 vipya kusaidia wakulima
wa Ngano, Mahindi, Kahawa, Korosho,Nyanya, Vitunguu ...
8 minutes ago

No comments:
Post a Comment