Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
Maisha : Dkt. Gwajima Ahimiza serikali za mitaa kuimarisha ulinzi na
usalama wa watoto
-
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Dkt. Dorothy Gwajima amesema serikali za
mitaa ni kitovu cha utekelezaji wa mikakati ya ulinzi na usalama wa mtoto
iwapo ...
1 day ago
No comments:
Post a Comment