Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
NABII MKUU DR. GEORDAVIE ATEULIWA KUWA BALOZI WA UN-PAF AFRIKA MASHARIKI
-
Na Woinde Shizza
Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. GeorDavie K. Moses, Kiongozi wa Kanisa la Ngurumo
ya Upako lililopo jijini Arusha, ameteuliwa rasmi kuwa Ba...
2 days ago

No comments:
Post a Comment