Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
Mwenyekiti wa bodi ya wakala wa usalama na afya mahala pa kazi atembelea
banda la kiwanda cha A to Z
-
Mwenyekiti wa bodi ya wakala wa usalama na afya mahala pa kazi Adelhelm
James Meru amefurahishwa na kona uwekezaji mkubwa uliowekwa katika vifaa
...
1 day ago
No comments:
Post a Comment