Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE ZASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA KILIMO
DODOMA
-
Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake zinashiriki Katika Maonesho
ya Kimataifa ya Kilimo ambayo yameanza Tarehe 1 Agosti Katika Viwanja
Nzug...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment