Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
SERIKALI KUTOA MAFUNZO MAALUM KWA MABLOGA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam — Serikali imetangaza mpango wa kutoa
mafunzo maalum kwa waandishi wa blogu nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi
ya ...
1 day ago
No comments:
Post a Comment