Meneja wa timu(Namweni)akiwa ameshikilia moja ya kombe la ushindi katika viwanja vya jamhuri Dodoma.
TANAPA ilinyakuwa makombe 6 katika mahindano ya SHIMUTA Mwaka huu(2012)huku busketball wanawake ikiwa Mshindi wa kwanza,Mpira wa miguu washindi wa pili,mpira wapete washindi wa pili,dusk mshindi wapili,pooltable mshindi wa pili,riadha mshindi wakwanza na wapili
MAKONDA: ZAIDI YA WAGONJWA 20,000 WAHUDUMIWA KAMBI YA MATIBABU ARUSHA, 258
WAPEWA RUFAA
-
*Na Woinde Shizza, Arusha*
*JUMLA ya wagonjwa 24,871 wamehudumiwa katika Kambi ya Matibabu ya Kibingwa
na Ubingwa Bobezi iliyofanyika jijini Arusha, ...
3 days ago

No comments:
Post a Comment