Enter your keyword

Culture for Life.

Wednesday, April 26, 2017

2017#Miaka 53 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Vazi la taifa ni lipi mpaka sasa?

By On April 26, 2017
Miaka 53 ya muungano Kauli mbiu ni  tuulinde na kupiga vita matumizi ya madawa ya kulevya pamoja na kuwajibika na kufanya kazi kwa bidii. Stara Thomas, mwimbaji wa zouk akiwa amevalia vazi murua kabisa! Picha: hisani ya haki-hakingowi blog. Katika kuadhimisha miaka 53 ya uhuru ni vema pia tukikumbuka kutafuta vazi ambalo linatutambulisha kama watanzania kama mataifa mengine yanavyojitambulisha...

Tuesday, April 25, 2017

Sunday, April 23, 2017

Mavazi unayopaswa kuvaa mwanaume kwaajili ya Interview

By On April 23, 2017
Epuka kuvaa suti nyeusi, ukweli ni kwamba suti nyeusi haipitwi na wakati lakini ni vema wakati wa usahili ukivaa suti ya kijivu(solid navy) au gray,ikiwa unafanya interview ya utangazaji unaweza vaa suti nyeusi.Hakikisha uvai  vizuri zaidi kuliko mfanya usahili,ni nivema muonekano wako ujieleze zaidi kuliko mavazi  yako. Epuka kuvaa suti zenye vifungo viwili mbele Kwa usahili...

Wednesday, April 19, 2017

Vitu 8 vinavyopelekea kuchukia ukuta wa nyumba yako.

By On April 19, 2017
1.Kuogopa rangi ziletazo giza  wakati mwingine katika kuchagua rangi ya nyumba mtu anachagua rangi zinazong'aa  ilikuifanya nyumba iwe na rangi yenye kung'aa wakati kuna rangi zingine nzuri ambazo hukufanya kuwa katika hali ya utulivu.Unaweza ing'arisha kwa mapa 2.Uwekaji wa picha ukutani. Ndiyo picha huleta mvuto katika nyumba haijalishi zipo katika muonekano gani lakini unapoziweka...

Tuesday, April 18, 2017

Emelia Brobbey reveals her new look, and you will love it!!!

By On April 18, 2017
Emelia Brobbey has said goodbye to big weaves and long hair, at least for a moment and she is looking stunning!  She took photos revealing her low cut hair and already, fans are loving it! The actress  is currently preparing to premiere her self-produced movie ‘Adanfo Bone’ in three cities – Kumasi, Accra and Sunyani. The movie features Nana Ama McBrown, Liwin, Bill...

Keke Palmer amewashangaza watu aliponekana na begi la mfuko wa shangazi kaja mtaani

By On April 18, 2017
Keke Palmer  Mwigizaji,mwimbaji,mwandishi wa nyimbo na mtangazaji  kutoka nchini marekani  amekuwa gumzo katika mitandao na ulimwengu kwa ujumla baada ya kuonekana na begi la shangazi kaja ambalo linafahamika zaidi kama Ghana bag.pata muonekano wake:Angalizo tu,sidhani kama hii style wabongo mnaweza iga?...

African print headwrap

By On April 18, 2017
Pata muonekano wangu wa kichwani kwa kutumia kipande kidogo cha kitenge ambacho kilibaki katika nguo yangu niliyoshona,Wakati mwingine huwa tunashona nguo lakini vile vipande vinavyobaki tuna tupa nakuahikikishia hivyo hayo mabaki ya vitambaa unavyotupa unaweza kutengenezea vitu vingi kama pillow,nguo ya mtoto wako,tablemate,zuria la mlangoni,hereni,cheni,au mkufu wa kitenge lakini wengi tumekuwa...

ZIJUE Njia 18 ZA KUFUNGA TAI .

By On April 18, 2017
Huenda ulikuwa unapata tabu katika ufungaji wa tai,tumia hiyo picha kuweza kufunga tai na kila siku uwe na muonekano mpya...

Viatu vya kiofisi ambavyo mwanaume unatakiwa kuwa navyo.

By On April 18, 2017
Kila mwanaume huitaji viatu haijalishi anavivaa wapi lakini nimuhimu mwanaume kuwa na viatu ambavyo vitakupa muonekano mzuri unapovaa na nguo zako.Leo nitaonesha baadhi ya viatu ambavyo unapaswa mwanume kuwa navyo kwaajili kazini au mazingira ya kistaraabu mikutanoni,kwenye semina,kwenye sherehe za heshima.Leo nitakuonyesha baadhi ya viatu ambavyo wewe kama mwanaume ni muhimu kuwa navyo: 1. Patent...

Monday, April 17, 2017

Badili muonekano wa nywele zako

By On April 17, 2017
Angalia walivyopendeza na mitindo ya nywele ambayo inafaa maeneo mbalimbali ofisini hata katika matembezi mbalimbali.   Kwa wanaopenda mitindo ya nywele fupi Ni vizuri kwenda na wakati japo usiwe mtumwa wa mitindo au fashion mpya zinazokukja kila uchao. Nywele ni moja ya mambo yanayomfanya mwanamke kuonekana wa kisasa na wa kuvutia.   Unapochagua mtindo wa nywele...

Sunday, April 16, 2017

vitu 10 vya kufanya katika mahusiano yako.

By On April 16, 2017
Ni kweli kuwa kuna wakati kama mwanadamu tunachoka hata katika shughuli za kawaida huwa zinamchosha mtu hata chakula ukila kila siku chenye ladha moja unachoka vivyo hivyo katika mahusiano kama hamna ubunifu baina ya wenza hawa lazima ufikia hatua ya kuchokana na kupelekea wenza kuaachana,Leo mpenzi msomaji wa safu hii  nitakupa dondoo chache ambazo zitakusaidia kujenga mahusiano yako. 1.Hakikisha...

Friday, April 14, 2017

Pregnancy Fashion Tips To Look Stylish Wherever You Go!

By On April 14, 2017
1.Vaa koti ambalo utalifunguo vifungo 2.Chagua nguo ambayo haionyeshi ukubwa wa tumbo lako sana na ikupe muonekano mzuri.  Blogger Shamimu Mwasha kushoto pic ya kwanza alipokuwa  mjamzito na mwanamitindo Kiki katika vazi ambalo hata mjamzito anaweza kulishona na akapendeza. 3.Tafuta cheni au hereni,bangili ambazo zitakupa muonekano mzuri kulingana na vazi lako.Hii husaidia kumfanya...

Masai wedding dress the best Tanzanian style ever.

By On April 14, 2017
Bibi harusi kulia akiwa na msimamizi wake katika mazingira ya umasain,Hili ndilo kabila linalodumisha utamaduni wake Tanzania ,kabila hili lina utajiri wa vitu vya asili ambavyo binafsi huwa vinanivutia sana kwani vinapobuniwa vema basi huwa na thamani kuwa hata katika kununua. PIC CREDIT: ME PRODUCTION-ARUSHA PIC CREDIT: ME PRODUCTION-ARUSHA  Bibi harusi wa kabila la kimasai vazi...
Page 1 of 561234567...56Next »Last

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu

1116882