Keke Palmer Mwigizaji,mwimbaji,mwandishi wa nyimbo na mtangazaji kutoka nchini marekani amekuwa gumzo katika mitandao na ulimwengu kwa ujumla baada ya kuonekana na begi la shangazi kaja ambalo linafahamika zaidi kama Ghana bag.pata muonekano wake:Angalizo tu,sidhani kama hii style wabongo mnaweza iga?
ELIMU YA WATU WAZIMA YAZIDI KUPAA ARUSHA
-
Mgeni Rasmi katika hafla ya maadhimisho ya wiki ya Elimu ya Watu Wazima
Wilaya ya Arusha,Bi. Chausiku Baha akivalishwa skafu na mmoja wa Wanafunzi
waliop...
1 day ago
No comments:
Post a Comment