Keke Palmer Mwigizaji,mwimbaji,mwandishi wa nyimbo na mtangazaji kutoka nchini marekani amekuwa gumzo katika mitandao na ulimwengu kwa ujumla baada ya kuonekana na begi la shangazi kaja ambalo linafahamika zaidi kama Ghana bag.pata muonekano wake:Angalizo tu,sidhani kama hii style wabongo mnaweza iga?
BENO MALISA AFUNGUA MAONYESHO YA KUSINI FESTIVE
-
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Beno Malisa, amefungua rasmi Maonyesho ya Kusini
Festive, akiwataka wananchi, wafanyabiashara na wawekezaji kuyatumia kama
fu...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment