Keke Palmer Mwigizaji,mwimbaji,mwandishi wa nyimbo na mtangazaji kutoka nchini marekani amekuwa gumzo katika mitandao na ulimwengu kwa ujumla baada ya kuonekana na begi la shangazi kaja ambalo linafahamika zaidi kama Ghana bag.pata muonekano wake:Angalizo tu,sidhani kama hii style wabongo mnaweza iga?
Dkt. Kijaji azindua Bodi mpya ya Ngorongoro, awaapisha Kamishna wa Uhifadhi
-
Dkt. Kijaji azindua Bodi mpya ya Ngorongoro, awaapisha Kamishna wa
UhifadhiAagiza ongezeko la vitanda vya malazi na ubunifu zaidi kwenye sekta
ya utal...
1 day ago


No comments:
Post a Comment