Keke Palmer Mwigizaji,mwimbaji,mwandishi wa nyimbo na mtangazaji kutoka nchini marekani amekuwa gumzo katika mitandao na ulimwengu kwa ujumla baada ya kuonekana na begi la shangazi kaja ambalo linafahamika zaidi kama Ghana bag.pata muonekano wake:Angalizo tu,sidhani kama hii style wabongo mnaweza iga?
ONGEZEKO LA UVUTAJI SIGARA NA SHISHA LATISHIA AFYA YA WATANZANIA
-
Na mwandishi wetu
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter
Kisenge, amesema watu milioni 20 duniani hufariki kila...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment