Keke Palmer Mwigizaji,mwimbaji,mwandishi wa nyimbo na mtangazaji kutoka nchini marekani amekuwa gumzo katika mitandao na ulimwengu kwa ujumla baada ya kuonekana na begi la shangazi kaja ambalo linafahamika zaidi kama Ghana bag.pata muonekano wake:Angalizo tu,sidhani kama hii style wabongo mnaweza iga?
ELIMU YA FEDHA YAONGEZA MATUMAINI ARUSHA: WANANCHI WAPATA MWANGA WA KIUCHUMI
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Halmashauri ya Jiji la Arusha imezindua rasmi zoezi la uhamasishaji wa
wananchi kuhusu fursa mbalimbali zilizopo ndani ya jiji h...
5 days ago


No comments:
Post a Comment