Keke Palmer Mwigizaji,mwimbaji,mwandishi wa nyimbo na mtangazaji kutoka nchini marekani amekuwa gumzo katika mitandao na ulimwengu kwa ujumla baada ya kuonekana na begi la shangazi kaja ambalo linafahamika zaidi kama Ghana bag.pata muonekano wake:Angalizo tu,sidhani kama hii style wabongo mnaweza iga?
Maisha : Zaidi ya Wananchi 9,000 Kunufaika na Huduma ya wilaya ya Korogwe
-
Na Oscar Assenga, TANGA
ZAIDI ya Wananchi 9,450 wa wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga wanatarajiwa
kuondokana na changamoto ya upatkanaji wa maji baada ya...
17 hours ago
No comments:
Post a Comment