Keke Palmer Mwigizaji,mwimbaji,mwandishi wa nyimbo na mtangazaji kutoka nchini marekani amekuwa gumzo katika mitandao na ulimwengu kwa ujumla baada ya kuonekana na begi la shangazi kaja ambalo linafahamika zaidi kama Ghana bag.pata muonekano wake:Angalizo tu,sidhani kama hii style wabongo mnaweza iga?
Utumishi : Maafisa Utumishi Wakumbushwa Kuzingatia Sheria, Uzembe Waonywa
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Serikali imewataka Maafisa Utumishi na Wasimamizi wa Rasilimaliwatu nchini
kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uadi...
1 day ago


No comments:
Post a Comment