Keke Palmer Mwigizaji,mwimbaji,mwandishi wa nyimbo na mtangazaji kutoka nchini marekani amekuwa gumzo katika mitandao na ulimwengu kwa ujumla baada ya kuonekana na begi la shangazi kaja ambalo linafahamika zaidi kama Ghana bag.pata muonekano wake:Angalizo tu,sidhani kama hii style wabongo mnaweza iga?
Mchengerwa Avunja Mabaraza ya Madiwani, Atangaza Wabaki na Vitendea Kazi
-
Na Woinde Shizza, Arusha
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, ametangaza rasmi kuvunjwa...
18 hours ago
No comments:
Post a Comment