Keke Palmer Mwigizaji,mwimbaji,mwandishi wa nyimbo na mtangazaji kutoka nchini marekani amekuwa gumzo katika mitandao na ulimwengu kwa ujumla baada ya kuonekana na begi la shangazi kaja ambalo linafahamika zaidi kama Ghana bag.pata muonekano wake:Angalizo tu,sidhani kama hii style wabongo mnaweza iga?
TANZANIA, URUSI KUIMARISHA ZAIDI BIASHARA NA UWEKEZAJI
-
*Na Woinde Shizza, Arusha*
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kufanya mageuzi makubwa ya
kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara ili kuvuti...
1 day ago


No comments:
Post a Comment