Keke Palmer Mwigizaji,mwimbaji,mwandishi wa nyimbo na mtangazaji kutoka nchini marekani amekuwa gumzo katika mitandao na ulimwengu kwa ujumla baada ya kuonekana na begi la shangazi kaja ambalo linafahamika zaidi kama Ghana bag.pata muonekano wake:Angalizo tu,sidhani kama hii style wabongo mnaweza iga?
RAIS SAMIA MGENI RASMI MEI MOSI KITAIFA ARUSHA,TUCTA YACHACHAMAA ATAKA
MISHAHARA KWA WAFANYAKAZI IWE JU
-
*RAIS Samia suluhu Hasani anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika maadhimisho
ya sikukuu ya wafanyakazi duniani ,Mei Mosi yanayotarajiwa kufanyika
kitaif...
1 day ago
No comments:
Post a Comment