Enter your keyword

Culture for Life.

Sunday, April 9, 2017

Tunza udamaduni wako Ukutunze.

 Catherine Butege,Mzanaki anayevutiwa na utamaduni wa kiafrika na kabila analolipenda zaidi ni Maasai anasema"napenda mavazi ya kimasai kwani ndiyo utamaduni pekee ulio baki Tanzania nikitaka kubadilika lazima nitaiga utamaduni wa n'je ya nchi yangu lakini mimi naanza na utamaduni wa nchi yangu kwanza"

Catherine katika gauni la penseli lililoshonwa kwa kanga kutoka Tanzania.

Gauni la solo la kitenge.

Pic credit: Me production Arusha.

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu