Enter your keyword

Culture for Life.

Wednesday, April 19, 2017

Vitu 8 vinavyopelekea kuchukia ukuta wa nyumba yako.

1.Kuogopa rangi ziletazo giza

 wakati mwingine katika kuchagua rangi ya nyumba mtu anachagua rangi zinazong'aa  ilikuifanya nyumba iwe na rangi yenye kung'aa wakati kuna rangi zingine nzuri ambazo hukufanya kuwa katika hali ya utulivu.Unaweza ing'arisha kwa mapa

2.Uwekaji wa picha ukutani.

Ndiyo picha huleta mvuto katika nyumba haijalishi zipo katika muonekano gani lakini unapoziweka pamoja bila kuzingatia rangi zake,rangi za frame au ukubwa wa frame na kuziweka sehemu moja lazima zitakuboa,Weka kwa kuzingatia rangi zinazofanana kama unaziweka pamoja au angalia ukubwa wa frame zako na shauri utumie picha za kiutamaduni au za kisanaa zaidi kwa picha pia humsaidia mtu kupumzisha akili yake hasa anapoziangalia

3.Kwa ajili ya kuwa na nyumba yenye nafasi

 Hali hii hupelekea nyumba yako kuoneka katika muonekano mbaya mfano hata uwekaji wa picha kuweka kwa wima ili kukwepa kubana nafasi wakati ukiweka picha hiyo kwa wima ingeonekana vema,Unapofanya hivyo nyumba lazima ikuboe.

Kupitia hayo mambo matatu niliyoyatajanaamini utajifunza kitu kidogo na kurekebisha muonekano wa nyumba yako.

 

 

 


No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu