Kila mwanaume huitaji viatu haijalishi anavivaa wapi lakini nimuhimu mwanaume kuwa na viatu ambavyo vitakupa muonekano mzuri unapovaa na nguo zako.Leo nitaonesha baadhi ya viatu ambavyo unapaswa mwanume kuwa navyo kwaajili kazini au mazingira ya kistaraabu mikutanoni,kwenye semina,kwenye sherehe za heshima.Leo nitakuonyesha baadhi ya viatu ambavyo wewe kama mwanaume ni muhimu kuwa navyo:
MEYA ATOA ONYO KALI WAKATI WA UZINDUZI WA KAMPENI YA “NG’ARISHA JIJI”
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa onyo kali kwa
watendaji wa jiji, maafisa afya, wazabuni wa taka...
1 day ago







No comments:
Post a Comment