Kila mwanaume huitaji viatu haijalishi anavivaa wapi lakini nimuhimu mwanaume kuwa na viatu ambavyo vitakupa muonekano mzuri unapovaa na nguo zako.Leo nitaonesha baadhi ya viatu ambavyo unapaswa mwanume kuwa navyo kwaajili kazini au mazingira ya kistaraabu mikutanoni,kwenye semina,kwenye sherehe za heshima.Leo nitakuonyesha baadhi ya viatu ambavyo wewe kama mwanaume ni muhimu kuwa navyo:
Maisha : Zaidi ya Wananchi 9,000 Kunufaika na Huduma ya wilaya ya Korogwe
-
Na Oscar Assenga, TANGA
ZAIDI ya Wananchi 9,450 wa wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga wanatarajiwa
kuondokana na changamoto ya upatkanaji wa maji baada ya...
14 hours ago
No comments:
Post a Comment