Kila mwanaume huitaji viatu haijalishi anavivaa wapi lakini nimuhimu mwanaume kuwa na viatu ambavyo vitakupa muonekano mzuri unapovaa na nguo zako.Leo nitaonesha baadhi ya viatu ambavyo unapaswa mwanume kuwa navyo kwaajili kazini au mazingira ya kistaraabu mikutanoni,kwenye semina,kwenye sherehe za heshima.Leo nitakuonyesha baadhi ya viatu ambavyo wewe kama mwanaume ni muhimu kuwa navyo:
SERIKALI KUTOA MAFUNZO MAALUM KWA MABLOGA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam — Serikali imetangaza mpango wa kutoa
mafunzo maalum kwa waandishi wa blogu nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi
ya ...
1 day ago
No comments:
Post a Comment