Enter your keyword

Culture for Life.

Tuesday, April 18, 2017

Viatu vya kiofisi ambavyo mwanaume unatakiwa kuwa navyo.

Kila mwanaume huitaji viatu haijalishi anavivaa wapi lakini nimuhimu mwanaume kuwa na viatu ambavyo vitakupa muonekano mzuri unapovaa na nguo zako.Leo nitaonesha baadhi ya viatu ambavyo unapaswa mwanume kuwa navyo kwaajili kazini au mazingira ya kistaraabu mikutanoni,kwenye semina,kwenye sherehe za heshima.Leo nitakuonyesha baadhi ya viatu ambavyo wewe kama mwanaume ni muhimu kuwa navyo:


1. Patent Leather Shoes  ni viatu vyenye muonekano mzuri wa kung'aa,wakati mwingine waweza vaa na jeans lakini hakikisha suruali yako inakipa kiatu uhuru wa kuonekana.


 2.Chukka Boots  ni viatu ambavyo asili yake nikutoka jeshini vilikuwa vikivaliwa sana jeshini kwasababu ya muonekano wake kama buti.Vipo vingine vyenye muundo wa leza na viatu viatu ambavyo unaweza vaa na nguo ya kiofisi na ukapendeza

 

3.The Double Strap Monks  viatu hivi ni kwa mwanaume yeyote aliyenadhifu na msafi.

 


4.Full Strap Loafers,Kaitu hiki ni kwa wanaume wote wanaojijali kama huna fanya kununua

 

5.Wholecut ni vaitu vinavyofahamika na wanaume wengi na huvaliwa sana na mavazi ya  kiofisi.

 

6.Plain Toe Blucher  Viatu hivi unaweza kuvalia suti,koti,au wakati mwingine kwa ajili ya casual wear au mtoko wa kawaida unaweza vaa na suruali ya khaki.

 

 

 

 

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu