Kila mwanaume huitaji viatu haijalishi anavivaa wapi lakini nimuhimu mwanaume kuwa na viatu ambavyo vitakupa muonekano mzuri unapovaa na nguo zako.Leo nitaonesha baadhi ya viatu ambavyo unapaswa mwanume kuwa navyo kwaajili kazini au mazingira ya kistaraabu mikutanoni,kwenye semina,kwenye sherehe za heshima.Leo nitakuonyesha baadhi ya viatu ambavyo wewe kama mwanaume ni muhimu kuwa navyo:
Afya : QYT Yaendelea Kupanua Huduma zake Jijini Dar es Salaam
-
Kampuni ya QYT inayojihusisha na huduma za tiba mbadala pamoja na kutoa
fursa Kwa vijana, imeendelea kupanua miradi yake Kwa kufunga tawi jipya
katika...
1 day ago
No comments:
Post a Comment