Kila mwanaume huitaji viatu haijalishi anavivaa wapi lakini nimuhimu mwanaume kuwa na viatu ambavyo vitakupa muonekano mzuri unapovaa na nguo zako.Leo nitaonesha baadhi ya viatu ambavyo unapaswa mwanume kuwa navyo kwaajili kazini au mazingira ya kistaraabu mikutanoni,kwenye semina,kwenye sherehe za heshima.Leo nitakuonyesha baadhi ya viatu ambavyo wewe kama mwanaume ni muhimu kuwa navyo:
TCAA YATOA MKONO WA PASAKA KITUO CHA KULELEA WATOTO CHA ZILI
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imekabidhi mahitaji kwa kituo
cha kulea watoto cha ZILI kilichopo Kipawa Jijini Dar es Salaam ikiwa ni
sehe...
4 days ago
No comments:
Post a Comment