Kila mwanaume huitaji viatu haijalishi anavivaa wapi lakini nimuhimu mwanaume kuwa na viatu ambavyo vitakupa muonekano mzuri unapovaa na nguo zako.Leo nitaonesha baadhi ya viatu ambavyo unapaswa mwanume kuwa navyo kwaajili kazini au mazingira ya kistaraabu mikutanoni,kwenye semina,kwenye sherehe za heshima.Leo nitakuonyesha baadhi ya viatu ambavyo wewe kama mwanaume ni muhimu kuwa navyo:
UZINDUZI WA MATOKEO YA SENSA YA KITAIFA YA WANYAMA PORI WAFANYIKA ,SWALA
TWIGA WAHOFIWA KUTOWEKA ,KIJAJI ATAKA UCHUNGUZI WA HARAKA
-
Na Woinde Shizza,Arusha
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji, ameitaka Wizara ya
Maliasili na Utalii, Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori ...
1 week ago







No comments:
Post a Comment