Enter your keyword

Culture for Life.

Friday, April 14, 2017

Masai wedding dress the best Tanzanian style ever.


Bibi harusi kulia akiwa na msimamizi wake katika mazingira ya umasain,Hili ndilo kabila linalodumisha utamaduni wake Tanzania ,kabila hili lina utajiri wa vitu vya asili ambavyo binafsi huwa vinanivutia sana kwani vinapobuniwa vema basi huwa na thamani kuwa hata katika kununua.

PIC CREDIT: ME PRODUCTION-ARUSHA

PIC CREDIT: ME PRODUCTION-ARUSHA

 Bibi harusi wa kabila la kimasai vazi lake lazima lijae nakshi za shanga kwa wingi pamoja na cheni ya kimasai hiyo ndefu pamoja na hizo zinazo onekana shingoni kwake ni muhimu sana kwa binti wa kimasai,ambazo huita enkarewa.

 Vazi la bibi harusi wa kimasai si chini ya T.SH 500,000/=Napenda watanzania wote tungekuwa na mwamko wa kuvaa mavazi yetu ya asili hata kama huna basi waweza vazi la kitamaduni lilipo katika kabila lako.

 

PIC CREDIT: ME PRODUCTION-ARUSHA

ME PRODUCTION-ARUSHA 

Wapo  Jijini Arusha karibu na jengo la Namvua Plaza Ghorofa ya Kwanza karibu na Stand kubwa ya mabasi ya mikoani.

Wanapiga picha katika location tofauti pia katika sherehe mbalimbali kama harusi,birthday,sendoff,cocktail part...na matukio yoyote pamoja na video shooting wana bei poa fanya nao kazi ufurahie kumbukumbu ya tukio lako.

Watafute kwa mawasiliano haya:

meproduction22gmail.com

Mobile no.+255 752026643

                  +255 763782044

 


No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu