Bogolan print ni vitambaa ambavyo vinapendwa pia kutokana na muonekano wake ulivyo mzuri ukilinganisha na African Print kama Wax,Kente basi Bogolani print inafuatia.Hivyo mwaka huu wa 2017 Bogolan print inaonyesha kushika chati katika mavazi ya Kiafrika.
Bogolan Print ni vitambaa vinavyotengenezwa sehemu za vijijini huko Mali,lakini vazi hili lilivaliwa sana miaka ya 80 na kushika kasi miaka ya 90.
Mavazi ya kiafrika kwa sasa yanashika chati kutokana nakuwepo kwa utengenezaji mzuri wa African Print kutoka China na ubunifu wa hali ya juu.Jionee picha tofauti za mavazi kwa kutumia kitambaa hiki cha Bogolan Print.
MEYA ATOA ONYO KALI WAKATI WA UZINDUZI WA KAMPENI YA “NG’ARISHA JIJI”
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa onyo kali kwa
watendaji wa jiji, maafisa afya, wazabuni wa taka...
1 day ago





No comments:
Post a Comment