Bogolan print ni vitambaa ambavyo vinapendwa pia kutokana na muonekano wake ulivyo mzuri ukilinganisha na African Print kama Wax,Kente basi Bogolani print inafuatia.Hivyo mwaka huu wa 2017 Bogolan print inaonyesha kushika chati katika mavazi ya Kiafrika.
Bogolan Print ni vitambaa vinavyotengenezwa sehemu za vijijini huko Mali,lakini vazi hili lilivaliwa sana miaka ya 80 na kushika kasi miaka ya 90.
Mavazi ya kiafrika kwa sasa yanashika chati kutokana nakuwepo kwa utengenezaji mzuri wa African Print kutoka China na ubunifu wa hali ya juu.Jionee picha tofauti za mavazi kwa kutumia kitambaa hiki cha Bogolan Print.
Msibani : Marehemu Jenista Mhagama Alikuwa Kiongozi Jasiri, Mwaminifu na
Mlezi wa Viongozi Wengi - Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo
ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga
mwi...
20 hours ago





No comments:
Post a Comment