Inavutia lakini je kwa wewe mwanamke ambaye unategemewa kwa majukumu ya nyumbani usithubutu kufanya hivi.Hii ni kwakina dada ambao wanafanyiwa kazi nyingi kama kuosha vyombo,kufua,na kazi zingine hasa za kutumia maji kwa kusugua.
HIZI NDIZO ATHARI ZA KUZIMWA KWA HUDUMA ZA MTANDAO
-
*Mchambuzi wa sera ambaye pia ni mwanasheria kutoka Taasisi Ya Zaina
Foundation William Kahale akitoa Elimu Kwa Waandishi Wa Habari Na Wanawake
Wanaof...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment