Enter your keyword

Culture for Life.

Thursday, January 26, 2017

Njia 6 Zitakazo kufanya uvutie na Mikufu ya Kiafrika(African Necklace)


  •  kuwa na mkufu wenye rangi nyingi au maua ya rangi tofauti,ikiwa unavaa nguo yenye rangi moja. 

    Zulu beads Necklace

  • Kuwa na mkufu ambao utaweza kuvalia vazi lako la usiku
  • Angalia urefu wa mkufu wako unaohitaji.Kulingana na wewe ulivyo ,mtu mfupi mkufu mrefu kwake huwa ni mzuri zaidi hufanya avutie zaidi na kumrefusha lakini pia anaweza kutumia kulingana na hitaji lake
  • Hakikisha unakuwa na Mkufu ambao unaweza kuuvaa asubuhi mpaka usiku,kwasababu mikufu  mingine hutegemeana na mda unaovaa,huenda umenunua mkufu wa usiku wewe unauvaa asubuhi. 
  • Jitahidi kuwa na mkufu mmoja unao fanana na moja ya nguo zako.
  •  Wakati mwingine unaweza kuvaa mikufu miwili tofauti kwa wakati mmoja kwa lengo la kuvutia tu muonekano wako.
  • Unajua kuwa nguo inyokufanya unang'aa ni nguo nzuri kwako kwani ukufanya uonekane mdogo pia mwenye afya.Bado nasisitiza kuwa mavazi ya kiafrika huvutia sana ikiwa tu utajipangilia vema.


No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu