Enter your keyword

Culture for Life.

Tuesday, January 24, 2017

Maumivu Ya Mwanadamu Hujificha Sehemu Hizi:

Katika mifupa ya Miili yetu.

 

Wakati mwingine mtu huwa na maumivu makali hata ya uchovu au misongo ya mawazo pamoja matatizo yatokanayo na changamoto za maisha.Maumivu huweza kujificha katika moyo,mgongoni,kiuno ,miguuni na sehemu zingine za mwili lakini unapofanya mazoezi hali hiyo huisha kabisa.

Nyimbo

Najua unaposikia baadhi ya nyimbo huku kumbusha wakati wa raha na wakati uliopitia shida.Sasa wakati mwingine unapokuwa umetulia na kuuusikia wimbo ambao uliusikia ukiwa katika majonzi  lazima akili yako itakurudisha hali ilivyokuwa kipindi hicho.

 Daftari la kumbukumbu

Unapopitia daftari la kumbukumbu zako lazima utakumbuka baadhi ya mambo yaliyokuumiza na kukufanya uwaze au uanze kutafakari hali ilivyotokea mpaka kuisha kwake.Ni vema kuto kuhifadhi kumbukumbu zinazoumiza moyo wako.

Mazingira tuliyoishi na watu wa karibu yetu

Mfano ulizoea kukuaa na mtu sehemu fulani za kupumzika inapotokea amefariki au mmetengana,unapopita hizo sehemu lazima utamkumbuka na kutamani kuwa naye ikiwa sehemu hiyo mlifanya jambo la heri au mlizungumza mengi mazuri,Kama sehemu hiyo ilikuwa na ugomvi huwezi kuikumbuka na kuifurahia.

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu