Enter your keyword

Culture for Life.

Friday, December 9, 2016

NJINSI YA KUTUNZA NGOZI YAKO

 Kuosha uso mara kwa mara

Watu wengi huosha uso asubuhi na usiku lakini ni vema kuosha uso wako na maji safi bila hata kutumia vipodozi vya kuoshea uso kama vile  (Cleanser).usiku wakati wa kulala tumia maji safi tu ya baridi kuondoa mafuta na vipodozi ulivyojipaka usitumie cleanser usafisha uso wako tena.Kitendo cha kuosha na sabuni zenye kemikali hata zisizo na kemikali hupelekea uso kujikunja na kuonekana kama mtu mwenye miaka mingi.

Kuosha uso na maji ya moto.

Hakikisha una osha uso kwa maji ya uvuguvugu,unapotumia maji ya moto sana  huondoa mafuta ya asili katika ngozi yako pamoja na fati na acid inayopatikana katika ngoz yako.Jitahidi kuosha uso wako kwa maji ya uvuguvugu.

Kufanya skrabu mara kwa mara.

Hakuna mwanamke siyependa sura yake ivutie,lakini unapofanya skrabu mara kwa mara au mama 2 au 3 kwa wiki hupelekea ngozi yako kuwa kavu na kuonekana kuchoka.

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu